VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Mhhh.. Kweli Dunia Tambala Bovu...
Mhhh.. Kweli Dunia Tambala Bovu...
Mhhh.. Kweli Dunia Tambala Bovu...
wewe hauna uzazi? zali hilo . opochuniti neva kam twaisi husninyo
tutamsaidiaje wakati urefu wenyewe ameandika 180 cm, nazani anahitajika ku editVoR....msaidieni mwenzenu jamani....maana inaonekana amekata tamaa! Najua wanaume wanawasikiliza wanaume wenzao...
tutamsaidiaje wakati urefu wenyewe ameandika 180 cm, nazani anahitajika ku edit
ndio maana najiskia proud kuwa mhaziri wako. hivi nilikuaga au bado? nataka kutoweka kama mohammed shossi nielekee fesbuku. kuna mzembe kanikera kweli kweli. sore ofu topikmmh! kwa ninavyoona ataniharibia kizazi. Lol! Nataka baba jiniasi.
kwanini VOR?
VoR....msaidieni mwenzenu jamani....maana inaonekana amekata tamaa! Najua wanaume wanawasikiliza wanaume wenzao...
Labda ni mimi tu au Labda ni usiku na fikra zangu zinarudi kinyume nyume.. lakini hii sentensi imenitisha....
"Wakati nasubiri kujaaliwa kupata mchumba nimeamua kutafuta mwanamke nitakayepata nae mtoto tu "
Sasa hapo najiuliza.., kwanini asitafute mmoja ambae atampa vyote.., na hapo ukisoma between the lines jamaa anataka short term relationship na huyu dada ambayo itakuwa long term sababu atataka huyu dada achangie kulea mtoto.. Labda Jamaa anawajibika kuujaza ulimwengu..
ndio maana najiskia proud kuwa mhaziri wako. hivi nilikuaga au bado? nataka kutoweka kama mohammed shossi nielekee fesbuku. kuna mzembe kanikera kweli kweli. sore ofu topik
mkuu nimetega hapo. think! VOR think!Aaah Mkuu na wewe pia ?
Mi nilishasema mkiona sipo hapa takribani zaidi ya miaka 3 Just say RIP .......
Sababu hapa ndio ishakuwa Home away from Home
Yaani thanks zimepotea sijui zimekwenda wapi... lakini unstahili moja THANKS..Sasa VoR.... ndo tunasema mkimpa nyie ushauri anaweza akawaelewa! Maana huko ni kukwepa majukumu tu!
mkuu nimetega hapo. think! VOR think!
ndio maana najiskia proud kuwa mhaziri wako. hivi nilikuaga au bado? nataka kutoweka kama mohammed shossi nielekee fesbuku. kuna mzembe kanikera kweli kweli. sore ofu topik
,
ngoja nifanye mikakati na mimi nianze campaign...
aah nimekupata hivi hii inafanya kazi ?,
ngoja nifanye mikakati na mimi nianze campaign...
By the way hivi nani kaiba Thanks zangu..? yaani mimi kuna ka-nyota tu ikiendelea hivi itabidi nianze kukatumia hako..
katika kampeni zako naomba husninyo na keren happuch waskuwemo kwenye list yako. tena namaanisha.NB: faza wangu amehusu sumbawanga.aah nimekupata hivi hii inafanya kazi ?,
ngoja nifanye mikakati na mimi nianze campaign...
By the way hivi nani kaiba Thanks zangu..? yaani mimi kuna ka-nyota tu ikiendelea hivi itabidi nianze kukatumia hako..
ok usiongee sana hapa uwanjani watatuloga. njoo lab haraka tumalizie kumpasua yule churasahivi tunaondoka wote mwalimu.
ukiondoka madesa yangu yote kichwani yanayeyuka.
ok usiongee sana hapa uwanjani watatuloga. njoo lab haraka tumalizie kumpasua yule chura