Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Ndugu yangu mimi nilizaa na mwanamke fulani ambae sikumuoa, lakini nilipokuja kuoa ni matatizo matupu uhusiano wa mama na mtoto wa kambo, mimi ilikuwa bahati mbaya niseme, lakini wewe ndugu unataka kutengeneza mtoto wa kambo kwa makusudi, hivi hujaona kwenye vyombo vya habari watoto wa kambo wanavyohenyeka.
Umri wako miaka 32, mbona bado kijana, tafuata mke ujenge familia, lakini elewa kuwa huwezi pata mtu aliyekamilika kwa 100% kwani naamini hata wewe hajakamilika.
Umri wako miaka 32, mbona bado kijana, tafuata mke ujenge familia, lakini elewa kuwa huwezi pata mtu aliyekamilika kwa 100% kwani naamini hata wewe hajakamilika.