Jamesh
Member
- Jul 15, 2008
- 31
- 2
Tangu nikiwa na umri wa miaka 25 nilitamani kuwa na mwenza lakini kwa bahati mbaya sijajaliwa kumpata ambaye naona tunaweza kuanzisha familia pamoja. Naomba nieleweke kuwa I'm not so selective au sio kila mwanamke hafai au sio mwaminifu katika mahusiano ila mimi kwa bahati mbaya sijajaliwa kumpata wa ubavu wangu, kwani kila nimpataye tunakosa chemistry kabisa huku naona uzee unazidi kupiga hodi. Wakati nasubiri kujaaliwa kupata mchumba nimeamua kutafuta mwanamke nitakayepata nae mtoto tu (kuzaa naye) ili kwa pamoja tuwe na mtoto wetu.
Nina umri wa miaka 32, urefu 180cm na uzito 84kg. Mweusi, nimeajiriwa, kipato cha wastani, nina umbo la wastani na dini yangu ni mkristu. Ninajiheshimu na kuheshimu wengine na tabia ni ya kuridhisha. Ninaishi Arusha maeneo ya Makao mapya. Mwanamke awe mwenye tabia njema ili mtoto aweze kujifunza mazuri kutoka kwa wazazi. Umri wake usiwe zaidi ya miaka 45. Awe anajishughulisha ili asiwe tegemezi kwa asilimia 100 kwani gharama za matunzo ya mtoto tutasaidiana kwa kadiri ya uwezo na tutakavyokubaliana. Awe tayari tukapime afya zetu kabla ya kuanza mchakato pia kupima DNA baada ya mtoto kuzaliwa. Sibagui dini, rangi, elimu, umbile wala kabila.
Kwa mwanamke mwenye hitaji kama langu ambaye yupo serious aniandikie email john.joseph843@gmail.com
You are warmly welcome.
Nina umri wa miaka 32, urefu 180cm na uzito 84kg. Mweusi, nimeajiriwa, kipato cha wastani, nina umbo la wastani na dini yangu ni mkristu. Ninajiheshimu na kuheshimu wengine na tabia ni ya kuridhisha. Ninaishi Arusha maeneo ya Makao mapya. Mwanamke awe mwenye tabia njema ili mtoto aweze kujifunza mazuri kutoka kwa wazazi. Umri wake usiwe zaidi ya miaka 45. Awe anajishughulisha ili asiwe tegemezi kwa asilimia 100 kwani gharama za matunzo ya mtoto tutasaidiana kwa kadiri ya uwezo na tutakavyokubaliana. Awe tayari tukapime afya zetu kabla ya kuanza mchakato pia kupima DNA baada ya mtoto kuzaliwa. Sibagui dini, rangi, elimu, umbile wala kabila.
Kwa mwanamke mwenye hitaji kama langu ambaye yupo serious aniandikie email john.joseph843@gmail.com
You are warmly welcome.