Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
salama mpenzi wangu,naona unawarusha tu...
natafuta mume mwenzio.....naomba huyu uniachie tu.....atapata chemistry na mimi:wink2:
salama mpenzi wangu,naona unawarusha tu...
mimi najiamini tutakuwa na chemistry na tutakuwa na watoto na tutawapenda sana.....ila nataka uondoe kwanza hiyo attitude ya kuwa umekosa mwenye chemistry na wewe na sasa wataka kuwa tu na mtoto,nafikiri una tatizo hilo.....!!!
wewe tena nimekuachia mpenzi wangu,ila :rain:uniite nije kukusaidia maana kuna????natafuta mume mwenzio.....naomba huyu uniachie tu.....atapata chemistry na mimi:wink2:
wewe tena nimekuachia mpenzi wangu,ila :rain:uniite nije kukusaidia maana kuna????
hahahahahaah. Yaani umeshaanza kuweka vizingiti? LOL
kunitumia hizo mbegu au unataka kwa njia ipi!
natafuta mume mwenzio.....naomba huyu uniachie tu.....atapata chemistry na mimi:wink2:
Kila mtu na bahati yake. Kama hujajaaliwa unaweza kushtukia miaka hamsini hiyo na bado unategemea utampata tu.
Kila la heri Michelle...japo yeye naona anataka mtoto....sijuii atatuma kwa njia ya posta...LOL:laugh::laugh::laugh::laugh:
hahahah keren umenifurahisha..... kwa njia ya posta itachelewa tafuta means nyingine iliyo fasta zaid
Jiandae kubeba mtoto mgongoni maana hawa mabint nitakaokutumia huku kazi hiyo wanaiweza kwa ujira mdogo tu ili waweze kuzaa na wewe.
UTAWEZA?
Hii kali!
Nimecheka sana.Mtu anayetafuta mtu wa kuzaa naye mara nyingi ( siyo zote) ana uwezekano wa kukwepa mjukumu hasa kama yaliyoko kwenye picha.Najaribu kupata picha jinsi huyu mtafuta mwanamke wa kuzaa naye atakavyokuwa anajishughulisha na malezi ya mwanaye hasa wakati wa shida - kupeleka mtoto clinic, au hospitali, kushinda na mtoto pale mama atakapokuwa anasafiri kikazi au kibiashara maana kasema hataki mama tegemezi....na mengine!
Kama walivyosema wengine hapo juu, ndugu jitahidi kutafuta mke na siyo mtu wa kukubebea mimba na kukuzalia! Wanawake siyo viwanda vya watoto.Wapo wanawake wenye mawazo kama yako - kupata mtu wa kuzaa naye lakini uzuri wa hawa ni kuwa wanaweza hata wasikuambie kuwa umempa ujauzito maana atahangaika kulea mwanaye bila kukuingiza kwenye gharama au usumbufu.
Hizo bold za red especial za chini zimenichekesha sana anyway nakutakia kila la kheri maana single ladies watakuwa wana note books zao wanaandka details tayari kwa kufanya upembuzi yakinifu.....
Kila mtu na bahati yake. Kama hujajaaliwa unaweza kushtukia miaka hamsini hiyo na bado unategemea utampata tu.
wewe hauna uzazi? zali hilo . opochuniti neva kam twaisi husninyomara nyingine watu wanazipiga teke bahati zao. Lol!