Natafuta mume

Natafuta mume

kuwa makini sana Salama Jay humu kuna matapeli wa kila aina.

Asanteh kwa ushauri..nakubaliana na ww kabsa coz kuna wengine walianza tayari kunitxt thn unakuta mke wake anakujibu.!
 
Last edited by a moderator:
Jamani kwa wale mnajifanya kutukana na kujua matusi..ntawajibu kama mnavyostahili..ukiwa unaona post yangu inakukera..kwanin usikae mbali nayo.!am proud of who i am..kama hupendi deal wth it..sibadiliki..
 
Kwa wale mlioitikia wito am so grateful..Ntajaribu na kujitahidi kuwajibu wote please naomba muwe wavumilifu..lakini at the end of the day..mume ni mmoja.!
 
Jamani am tied of being with men ambao hawajui wanataka nini in life..i need a serious man..am 23,mhaya na ni mnene kidesign..shepu ya kihaya to be precise..ni mweusi na sio mrefu wala mfupi size ya kati.!i might not be educated kihvyo but am intelligent n know how to treat my man..kazi kwenu serious men..PM me..

Salama natafuta mke wa kuoa kama vipi wasiliana nami kwa email : allyramadhani.ramadhani@gmail.com
 
Kwa wale mlioitikia wito am so grateful..Ntajaribu na kujitahidi kuwajibu wote please naomba muwe wavumilifu..lakini at the end of the day..mume ni mmoja.!

sasa mchujo utakuaje?? si itabidi udate na kila atakae kuPM?
 
I nid a tall man mweupe au maji ya kunde..,awe mwaminifu,anayejali na hapendi uongo kama mim coz nachukia lies kwakweli..awe outgoing,smart and responsible..

hzo sifa kama ni zako weka picha (na uipige ukiwa umeshika ua mkono wa kulia) tudhibitishe ukweli wako..
 
daaa.....kibongo bongo tunajua mke mwema anatoka kwa mungu ila mume mwema now anatoka....CRDB,NMB,NBC,EXIM,TIGO PESA,M PESA,AIRTER MONEY na kwengineko
 
Mie cna kazi..ni fresh graduate..iam intelligent kweeli sema ndo hvo cna kazi bt em still searching so kma u can bear with me in ths hard tyms em ready to be ur man..nyongeza..utakua na bahati sana ku datr na mie i real knw how to care women n em vry serious with my lyf babe gal ur so lucky just to say..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom