Salama Jay
Senior Member
- Oct 24, 2013
- 131
- 68
- Thread starter
- #101
hujielewi..inaonekana una hamu sana ya kutongozwa cjui
Umetumwa eheeee.....!sasa kama nina hamu ya kutongozwa ww kinachokuuma nin..au we shoga unaona wivu soko lako litapungua?
hujielewi..inaonekana una hamu sana ya kutongozwa cjui
Mama kwa maneno haya utapata mume kweli.Umetumwa eheeee.....!sasa kama nina hamu ya kutongozwa ww kinachokuuma nin..au we shoga unaona wivu soko lako litapungua?
Mama kwa maneno haya utapata mume kweli.
NimekuelewaAmenikera huyo mtu..sikuona sababu ya yeye kunitukana..soma post zake ndo utaelewa kwanin nimemjibu hvyo
unapoona mwanamke anaingia mtandaoni kutafuta mwanaume, there is something wrong there, how desperate are you? kama ww ni mwanamke wa kuoleka utapata tu mwanaume haina haja ya kuja hadi huku....get a lifeUmetumwa eheeee.....!sasa kama nina hamu ya kutongozwa ww kinachokuuma nin..au we shoga unaona wivu soko lako litapungua?
unapoona mwanamke anaingia mtandaoni kutafuta mwanaume, there is something wrong there, how desperate are you? kama ww ni mwanamke wa kuoleka utapata tu mwanaume haina haja ya kuja hadi huku....get a life
unapoona mwanamke anaingia mtandaoni kutafuta mwanaume, there is something wrong there, how desperate are you? kama ww ni mwanamke wa kuoleka utapata tu mwanaume haina haja ya kuja hadi huku....get a life
NINA SIFA ZOTE HIZO LAKINI MI NI MFUPI ZAIDI YA JOTI......ha ha ha ha wanawake bwana sasa urefu unakuongezea nini katika maisha yako...au unene wa mwanaume unapunguza jinsi ya yeye kukupende.Mapenzi ni moyo wa mtu si maumbile hizo ni tamaaI nid a tall man mweupe au maji ya kunde..,awe mwaminifu,anayejali na hapendi uongo kama mim coz nachukia lies kwakweli..awe outgoing,smart and responsible..
....mim siangalii looks..ni tabia.!
Kweli we mhaya mmeanza kuuza hata kwenye mitandao
UNAYETAFUTA MUME
JIBU MASWALI HAYA
- Una Kazi- Maana siku hizo golikipa haitajiki
- Bank Una shilingi ngapi?
- Umeshawahi kufunga ndoa za muda mfupi mara ngapi Kuolewa msiku na Kuachama mchana)
- umeshawahi kutoa mimba ngapi?
- ni lini ulipoteza bikira yako?
sina kazi na wala sina bank account..nimetoa mimba 50..nimeolewa na kuachika mara 25..!nilipoteza bikra nikiwa na miaka 2