Daniel Myl
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 535
- 270
Kama unajua process gani watu wanafanyaga mpka ukasikia ndoa iko tayari basi usingeuliza hilo swali.!
Una akili sana ningekuwa sijampata mama junior ningekutembelea
Kama unajua process gani watu wanafanyaga mpka ukasikia ndoa iko tayari basi usingeuliza hilo swali.!
Una akili sana ningekuwa sijampata mama junior ningekutembelea
ulisema hutaki mtu muongo hivyo nikajitahidi kuwa mkweli. kama ulimaanisha usmart wa kichwani nahisi ninao. niku pm au ulevi unanidisqualify hapahapa?Mlevi.???come on.!dats not how an outgoing person should be.!na nikisema smart ni kiakili..huo usmart wa nje ni kazi ya mke.!so inarekebishika..
you are really a ----ing stupid bitch.....get the ---- outNikisema looks namaanisha uzuri au ubaya..ubonge au wembamba..!uo urefu na maji ya kunde ni details ndogo sana kwenye mwili wa binadamu..sio kama yule anayetaka kuona kiwiliwili changu
ulisema hutaki mtu muongo hivyo nikajitahidi kuwa mkweli. kama ulimaanisha usmart wa kichwani nahisi ninao. niku pm au ulevi unanidisqualify hapahapa?
na ndio maana nikasema me mhaya ili watu kama nyie ambao mna aleji msisumbuke..
Kama unajua process gani watu wanafanyaga mpka ukasikia ndoa iko tayari basi usingeuliza hilo swali.!
Jamani am tied of being
with men ambao hawajui wanataka nini in life..i need a serious man..am
23,mhaya na ni mnene kidesign..shepu ya kihaya to be precise..ni mweusi
na sio mrefu wala mfupi size ya kati.!i might not be educated kihvyo but
am intelligent n know how to treat my man..kazi kwenu serious men..PM
me..
mi ni maji ya kunde pia ni outgoing maana ni mlevi and i think i can be responsible but am not smart. ntakufaa?
teh teh.,.Hata mimi natafuta mke kama wewe piga 0753838523
Wahi mapema nafasi ni chache!
you are really a ----ing stupid bitch.....get the ---- out
Ujarisi sio kwa wambanaji kijeshi pekee. Pia wewe ni mmoja wa majasiri kwa kuthubutu kuanika lako hitaji. Nchi zetu hizi huu ni utamadu mgeni kidogo kwa mwanamke kujitokeza wazi wazi kama wewe ulivyofanya. Kuna usemi usemao kwamba 'MTU HUNENA YALE YAUJAZAYO MOYO WAKE' kazi kwenu wale wanaokidhi sifa na vigezo. Jambo la msingi hapa unatakiwa kuanisha kile ukweli. Pili ukimpata huyo unayemdhania kuwa ndiye uhakikishe mnachek afya zenu wote. Ushauri, Ni nani awezae kumjua mke mwema?. Maandiko bibilia inasema Mke mwema hutoka kwa bwana. Ndgugu yangu piga goti hata Mume mwema hutoka kwa bwana. Japo kuwa baadhi ya vigezo ulivyoweka vinaonekana wewe unataka mume wa kuchonga - AMKA TANZANIA.