Natafuta mume

Natafuta mume

NINA SIFA ZOTE HIZO LAKINI MI NI MFUPI ZAIDI YA JOTI......ha ha ha ha wanawake bwana sasa urefu unakuongezea nini katika maisha yako...au unene wa mwanaume unapunguza jinsi ya yeye kukupende.Mapenzi ni moyo wa mtu si maumbile hizo ni tamaa

kila mtu ana choice yake..ata ww uliuliza hilo swali una choice yako so usijifanye kuna jipya apo
 
Tulia hani ushapata mume wakukuongoza kwenye bad life hili usijali nitafute kenye pm,
 
get a life yourself n mind your business.!at this point ur opinion doesnt count.!umechelewa...stop the blah blah blah..acha kua ka mwanamke..

my dear una high temper, juribu kuicontrol sabab hata hiyo ndoa inayotaman kunawakati utamzoea mwenzio na kuna wakati atakukera lazima my dear with your temper you will go no where na mumeo just because hakuna mwanaume anayestand that kind of temper. halaf pia uko na principle audit urself ukiona ninachosema ni kweli change for the best so as to have best huby.
 
my dear una high temper, juribu kuicontrol sabab hata hiyo ndoa inayotaman kunawakati utamzoea mwenzio na kuna wakati atakukera lazima my dear with your temper you will go no where na mumeo just because hakuna mwanaume anayestand that kind of temper. halaf pia uko na principle audit urself ukiona ninachosema ni kweli change for the best so as to have best huby.

thanx for your advice...but kuna watu humu wanakera!na nilivyo ni kwamba sina uvumilivu kwa mambo ya kijinga..na namjibu mtu kulingana na response yake.!ww soma comment zao hasa hyo real G
 
get a life yourself n mind your business.!at this point ur opinion doesnt count.!umechelewa...stop the blah blah blah..acha kua ka mwanamke..

chema chajiuza kibaya chajitembeza...na kama umepa mwanaume wa kuchukua mwanamke kuoa mtandaoni wote ni MABOYA
 
my dear una high temper, juribu kuicontrol sabab hata hiyo ndoa inayotaman kunawakati utamzoea mwenzio na kuna wakati atakukera lazima my dear with your temper you will go no where na mumeo just because hakuna mwanaume anayestand that kind of temper. halaf pia uko na principle audit urself ukiona ninachosema ni kweli change for the best so as to have best huby.
you can see youself how this woman is too immature and stupid to live with a real man...kama kuna mwanaume naye atamchukua ili amuoe naye hajitambui
 
Muombe Mungu dada angu Mume mwema anatoka kwake yeye Muumbaji. Kwa kifupi unaonyesha umechoshwa na wanaume umejuaje kama wewe ni mwaminifu? Usiangalie kibanzi wakati una boriti.
 
you can see youself how this woman is too immature and stupid to live with a real man...kama kuna mwanaume naye atamchukua ili amuoe naye hajitambui

Ww si mke wako or your girlfriend yupo 100% perfect sasa nini unahangaika na mim.?sijifichi makucha yangu to get a man..he has to know the real me..kama nipo immature as you say na stupid..ni maamuzi yake kuamua..to deal wth it..Watanzania mna penda mambo ya kujipretend siko hvyo...i am who i am.!
 
chema chajiuza kibaya chajitembeza...na kama umepa mwanaume wa kuchukua mwanamke kuoa mtandaoni wote ni MABOYA

Sasa wanawake wa mtandaoni si ni wale wale wa mtaani au?au wa mtandaoni wanatokea wap..ww G o whoever you call urself..una matatizo.!tafuta daktari kama ungekua na busara kama unavyojifanya kusema usingeanza na matusi..
 
Muombe Mungu dada angu Mume mwema anatoka kwake yeye Muumbaji. Kwa kifupi unaonyesha umechoshwa na wanaume umejuaje kama wewe ni mwaminifu? Usiangalie kibanzi wakati una boriti.

I thnk binadamu yeyote anajielewa kama yy ni msaliti o not..ila thnx kwa ushauri.!ni mzuri na ntaufanyia kazi..
 
you can see youself how this woman is too immature and stupid to live with a real man...kama kuna mwanaume naye atamchukua ili amuoe naye hajitambui
mkuu kulikuwa na ulazima gani kuanza kumtukana dada wa watu? au ndo ugensta pori! maana nikiiona avatar yako na signature na matusi yako nikiviconnect.
 
Nikutakie kila la kheri mdogo wangu.Jamani members jaribuni kutumia lugha ya kiungwana mtu anapotushirikisha hitaji lake.Hakuna haja ya kumtukana mtu.
 
you can see youself how this woman is too immature and stupid to live with a real man...kama kuna mwanaume naye atamchukua ili amuoe naye hajitambui

unajua kaka umekuwa too hash kwa mdada wa watu.
kila mtu ana akili mkichwa kwa kiasi chake na kila mtu ni mzuri machoni kwa mwenyewe(beholder) kila mtu ana mapungufu yake na manyoofu yake, hilo naamin unakubaliana nami.
mwanaume atakayekuwa nae hawezi kuwa hajitambui, anavyo alivyopenda kwake, ukweli wengi hatuamini mapenzi ya kupitia mitandao bt kuna jamaa mmoja mkewe walikutana facebook tena ktk style ya kiivyo..... jamaa alimtaka binti akamkubali wakaendelea kuwasiliana, binti alikuwa anaishi iringa jamaa dar, siku ya siku binti kaja dar jamaa kagonga binti akarudi iringa, kumbe binti alipata mimba mambo yakaendelea yalivyoendelea hadi sasa ni mke na mume tena ndoa ya kanisani with happy family.
Ushauri; tusimtukane dada wa watu sababu hakuna jambo lisilo na sababu.
 
mkuu kulikuwa na ulazima gani kuanza kumtukana dada wa watu? au ndo ugensta pori! maana nikiiona avatar yako na signature na matusi yako nikiviconnect.

Unajua hawa watu wanaopendaga kutukana watu kwenye mtandao..(cyberbullies) wanakuaga depressed kwenye maisha yao ya kawaida na hakuna sehemu ya kutulia stress zaome nilikua sijaangalia profile yake..yy mwenywe alisema anahitaji doctor wa saikolojia..
 
unajua kaka umekuwa too hash kwa mdada wa watu.
kila mtu ana akili mkichwa kwa kiasi chake na kila mtu ni mzuri machoni kwa mwenyewe(beholder) kila mtu ana mapungufu yake na manyoofu yake, hilo naamin unakubaliana nami.
mwanaume atakayekuwa nae hawezi kuwa hajitambui, anavyo alivyopenda kwake, ukweli wengi hatuamini mapenzi ya kupitia mitandao bt kuna jamaa mmoja mkewe walikutana facebook tena ktk style ya kiivyo..... jamaa alimtaka binti akamkubali wakaendelea kuwasiliana, binti alikuwa anaishi iringa jamaa dar, siku ya siku binti kaja dar jamaa kagonga binti akarudi iringa, kumbe binti alipata mimba mambo yakaendelea yalivyoendelea hadi sasa ni mke na mume tena ndoa ya kanisani with happy family.
Ushauri; tusimtukane dada wa watu sababu hakuna jambo lisilo na sababu.

I praise you kwakweli...sijui ww ni dada au kaka..but your very wise.!
 
mimi leo ndio mara ya kwanza kufika jukwaa hili

niemvutiwa kusoma topic ya SALMA jay maana nimeona ina response kubwa sana

Kumbe kuna watu humu ustaarabu mdogo, majibu ya kejeli, matusi na kadhaliak bila sababu ya msingi. lengo la jukwaa hili ni kuwapa nafasi watu kama hawa kuongeza wigo wa kupata potential husbands, tusiwakatishe tamaa kwa maneno ya kejeli na provocation.

Mwenyewe kasema anayeona anafit aingie PM kiroho safey, sasa kejeli za nini? Mods sijui wako wapi wawafunze adabu watu wa aina hii

N.B nadeclare interest mimi nimeoa tayari.... all the best Salma
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom