Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,468
Akuroge nani wewe? apoteze wakati wake? mwenyewe hapo ulipo upo hoi bin taabani, ungekuwa mzima ungeota mchana (hallucinate) kuwa Kikwete ni baba'ko mzazi?
ha ha hahahahaaaaaa!
Akuroge nani wewe? apoteze wakati wake? mwenyewe hapo ulipo upo hoi bin taabani, ungekuwa mzima ungeota mchana (hallucinate) kuwa Kikwete ni baba'ko mzazi?
Naomba unipe jina lako na la mama yako liwe kamili.
Halafu niambie unataka nikuroge uweje
1.Ufe kabisa?
2. Uwe kichaa?
3.Uwe fukara maisha yote?
4.Uwe shoga?
Kuna Mtanzania mmoja alisema kuwa yoyote atakayemgusa kwa lengo la kumdhuru atawaangamiza ukoo wake wote kwa uchawi, hata PANYA hawatabakia.
Kama uko serious, mtafute huyo Rais umdhuru utajua kama uchawi upo au lah.
Frank Joram Mwanga babu yangu anaitwa Mvungomali eneo nalotokea ni Rombo mkuu Moshi
Vipi kuhusu itikafu au albadiri! ipo au haipo?
Msinitishe kwenye PM kama wewe unaamini kuna uchawi na unaweza kuniloga go ahead do it....
acha kunitisha kumbuka nimekaa na wachawi.haswa wanaosifiki kwa matukio makubwa lakini hawakuniweza. Uchawi ni woga na imani yako. Watanzania tulivyo na fitina sitingewaloga mafisadi basi. Kwenye vyama vya siasa si ndio mngetunguana kama ndege? kuna sumu sio uchawi
Wakuu,
Nina miaka 4 sasa nafanya utafiti kuhusu kuwepo kwa uchawi sijapata kujiridhisha kihalisia kuwepo kwa ushirikina.Nimetembelea maeneo yote yanayosemekana ni maarufu kwa ushirikina kama Tanga, Sumbawanga, Pemba na Bagamoyo. Huko pemba nimefika maeneo ya wete kuna kamsitu wanasema ndio hatari kwa wachawi kukaa na kufanya matambiko kuna makaburi ya zamani sana walisema tukifukua tutakufa kwa vile tutachokoza 'wazee' tumefanya excavation vizuri tukakuta artifacts na masufuria ma hirizi na mavitambaa mekundu na meusi na manyoa, ni mwaka sasa na mpaka sasa hata mafuta hakuna aliye pata kwenye team yetu. Tulilala hapo hapo makaburini kwa kutumia tent hata mbu hakutun'ata.
Sasa swali ni kwamba mtu anasema ooh nimelogwa na kukimbilia kwa hawa watumishi fake wa Mungu na kusema wamepona, wamenpona nini? Mimi nimeomba wazee waniloge wakasema wameniloga sitozaa kabisa kwa sasa na miaka 28 na watoto 6 na wana afya nzuri na nimepima DNA ni wa kwangu.
Kama kuna mtu amelogwa au anaweza kuniloga atoe fact hapa.
Vipi kuhusu itikafu au albadiri! ipo au haipo?