Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Hello uko wapi?Tafuta mwanamke wa uswahilini, muonyeshe kama una gari nyumba na mali. Anzisha mahusiano
kisha utakuja kusema mwenyewe kama kurogwa kuko
Hello uko wapi?Tafuta mwanamke wa uswahilini, muonyeshe kama una gari nyumba na mali. Anzisha mahusiano
kisha utakuja kusema mwenyewe kama kurogwa kuko
Watu wanaruka aiseeee!!!Nilikutana na padri mmoja aliyekuwa anafanya utafiti kwa ajili Phd yake.
Anasema alizunguka kwa waganga wote maarufu nchini, mpaka nchi za jirani kujalibu kupata taafa zake ila kati ya mambo ambayo alisema hayapo ni "UCHAWI". Anasema kuna sumu, na mazingaombwe lakini uchawa kama ule wa kudai mtu kuruka na ungo ni uongo na kwamba hakuna anayeweza.
Ni mchango wangu tu.