Mr Rocky hukubali tu kushindwa,leo huna mzuka wa bia?
Dah haya mkuu Excellent nitumie tuu hizo mpesa nikapate bia bana maana hapa nakubali kushindwa
Last edited by a moderator:
Mr Rocky hukubali tu kushindwa,leo huna mzuka wa bia?
habari yako
angalia tena basi mkuu,maana network nayo mizinguo
bestito mwallu niombee kwani nimeshamkosea Mungu hapa mwenziio
sijui nifanyaje najuta kumualika huyu View attachment 119275
anifanyie massage kwani kanifanyia kweli na uenda nikabeba
mzigo wa kilo 7 kama hivi :mimba:maana naona dalili kwa mbali
nifanyeje niko njia panda mwenzio nitamwelezaje daddy watu8 dhahama kubwa kiasi hichi
hatupikiki chungu moja😱😱 mshangao in capital leta
hatupikiki chungu moja
sijui leo imekwaje,ila leo tu kwa massage,kwani we siwezi kukufanyia massage?mmh
kwenye masaji si mmepikika sufuria moja?
sijui leo imekwaje,ila leo tu kwa massage,kwani we siwezi kukufanyia massage?
mmh
kwenye masaji si mmepikika sufuria moja?
ngoja nimchunguze kwanza nione kama anafaa aul la cousin usijali
sijui leo imekwaje,ila leo tu kwa massage,kwani we siwezi kukufanyia massage?
hata siku moja haitokei labda unikamate wewewewe kwisha habari yako
ushakamatwa
habari yako
nzuri mwaya