Ongezeko la vibanda vya kuuza vitu vilivyotumika (used) vya ndani ni ishara ya ongezeko la umasikini kwa Watanzania

Mwanongwa

Senior Member
Feb 15, 2023
169
198
Mwanongwa katika pitapita zangu maeneo mbalimbali ya nchi hii, nimeona vibanda na maduka yanayouza vitu vya ndani ambayo vimetumika kwa lugha ya wenzetu wanaita (used).

Hii ni ishara tosha kuwa umasikini kwa nchi yetu umeongezeka ndiyo maana wananchi wanashindwa kujikimu na kuamua kuuza vitu vya ndani.

Minyororo ya fedha kwa Watanzania waliyowengi imeziba na mingine imefukiwa kabisa hivyo mtu anaona bora kimuokea chake.

Tunawakumbusha wanasiasa kuwa kauli ya kuupiga mwingi hadi inamwagika haina maana kinachitakiwa muambizane ukweli kuwa Wananchi wenu tumechoka mbaya.

#Mwanongwa
 
Mwanongwa katika pitapita zangu maeneo mbalimbali ya nchi hii,nimeona vibanda na maduka yanayouza vitu vya ndani ambayo vimetumika kwa lugha ya wenzetu wanaita (used).

Hii niishara tosha kuwa umasikini kwa nchi yetu umeongezeka ndiyo maana wananchi wanashindwa kujikimu na kuamua kuuza vitu vya ndani.

Minyororo ya fwedha kwa watanzania waliyowengi imeziba na mingine imefukiwa kabisa hivyo mtu anaona bora kimuokea chake.

Tunawakumbusha wanasiasa kuwa kauli ya kuupiga mwingi hadi inamwagika haina maana kinachitakiwa muambizane ukweli kuwa Wananchi wenu tumechoka mbaya.

#Mwanongwa
Woyoooooo
 
Mwanongwa katika pitapita zangu maeneo mbalimbali ya nchi hii,nimeona vibanda na maduka yanayouza vitu vya ndani ambayo vimetumika kwa lugha ya wenzetu wanaita (used).

Hii niishara tosha kuwa umasikini kwa nchi yetu umeongezeka ndiyo maana wananchi wanashindwa kujikimu na kuamua kuuza vitu vya ndani.

Minyororo ya fwedha kwa watanzania waliyowengi imeziba na mingine imefukiwa kabisa hivyo mtu anaona bora kimuokea chake.

Tunawakumbusha wanasiasa kuwa kauli ya kuupiga mwingi hadi inamwagika haina maana kinachitakiwa muambizane ukweli kuwa Wananchi wenu tumechoka mbaya.

Ukiingia mtaani mitungi ya gesi imezagaa kwa madalali,Magodolo ndiyo balaa yanauzwa bei ya nyanya,sofa ndiyo kabisaaaa.

Nawatakia mwisho mwema wa 2023

#Mwanongwa
 
Mwanongwa katika pitapita zangu maeneo mbalimbali ya nchi hii,nimeona vibanda na maduka yanayouza vitu vya ndani ambayo vimetumika kwa lugha ya wenzetu wanaita (used).

Hii niishara tosha kuwa umasikini kwa nchi yetu umeongezeka ndiyo maana wananchi wanashindwa kujikimu na kuamua kuuza vitu vya ndani.

Minyororo ya fwedha kwa watanzania waliyowengi imeziba na mingine imefukiwa kabisa hivyo mtu anaona bora kimuokea chake.

Tunawakumbusha wanasiasa kuwa kauli ya kuupiga mwingi hadi inamwagika haina maana kinachitakiwa muambizane ukweli kuwa Wananchi wenu tumechoka mbaya.

#Mwanongwa
Wewe Bado ni Mshamba, labda pia hujatembea nchi za Watu!

Nchi zote zilizoendelea zina maduka aina hiyo, hata hapa Africa nchi kama South Africa wana Maduka makubwa ya vitu used, yakiitwa Pawn Shop!

Kuna mtu amenunua Makochi Mapya, lakini ana makochi za Zamani ambayo yapo kwenye hari nzuri, anajua kuna Mtu anaweza kuyahitaji, basi ama atapiga picha apeleke kwa Pawn shop ama atabeba vitu vyake na kupeleka Dukani, wao watanunua then wanaweka Dukani watauza kwa mhitaji.
 
Ulaya maduka ya Charities yamejaa kila sehemu, na tunapeleka nguo nyingi tu bure
Na kuna wengine wanapokea mpaka furniture bure
Kuna wengine wanauza zao
Naona watu wamejiongeza biashara nyingine ila utofauti huko wanauza vyao wanunue vingine badala ya kutupa wakati huku tunatoa bure na vingine vinakuja huko
 
Ni aina fulani ya maendeleo ya kiuchumi kwa upande mwingine
Hutumika pia kwa wenzetu na ndio tunaletewa huku kama mitumba
 
Back
Top Bottom