MGODOLO
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 209
- 172
Habari zenu wa JF? Nina baadhi ya thamani za ndani kama mnavyo ziona
KABATI la vyombo size 5X6 kama mnavyo liona, hilo ni full mbao sio zile za kuunga
MEZA kubwa ya kioo, tena kile kioo kikubwa cha milimita 12,... Urefu mita moja, upana nusu mita, haina kreki kama mnavyo ona
SOFASET : sofa ziko pcs tatu,.. Mbili za watu wawili wawili na moja ya mtu mmoja,.. But sofa hizi ni za kurekebisha vitambaa tu...
BEI KWA VITU VYOTE NI 500,000 Mazungumzo yapo.
NB: hata ukitaka kitu kimoja wapo kati ya hivyo, tutazungumza.
LOCATION: ARUSHA SINONI
SIMU: 0755360768
KARIBUNI
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
KABATI la vyombo size 5X6 kama mnavyo liona, hilo ni full mbao sio zile za kuunga
MEZA kubwa ya kioo, tena kile kioo kikubwa cha milimita 12,... Urefu mita moja, upana nusu mita, haina kreki kama mnavyo ona
SOFASET : sofa ziko pcs tatu,.. Mbili za watu wawili wawili na moja ya mtu mmoja,.. But sofa hizi ni za kurekebisha vitambaa tu...
BEI KWA VITU VYOTE NI 500,000 Mazungumzo yapo.
NB: hata ukitaka kitu kimoja wapo kati ya hivyo, tutazungumza.
LOCATION: ARUSHA SINONI
SIMU: 0755360768
KARIBUNI
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app