Natafuta mtu anayesomea Kiswahili UDSM anipe muongozo

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Nov 22, 2022
1,689
3,259
Habari.

Natafuta mtu anayesomea Shahada ya Kiswahili UDSM anipe msaada wa uchambuzi wa vitabu fulani vya Kiswahili. Ni Muhimu awe mwanafunzi maana kazi tutaifanyia chuoni.

Naomba aniDM.
 
Back
Top Bottom