VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 8,898
- 14,074
Hata najua basi nimekuta tu limenitoka usimwambie mama yako ugomvi hautoishaUmeona uli choni quote hapo juu?
Ni swali gan hilo?
Hata najua basi nimekuta tu limenitoka usimwambie mama yako ugomvi hautoishaUmeona uli choni quote hapo juu?
Ni swali gan hilo?
Kwa hizo sifa nimemkosa mume hapo ubao unasoma 5-0
Mwenyewe bado mtoto na mawazo ya kitoto, anatafuta aoe mtoto. Nasema kabla ya 35 mwanaume asihangaike kutafuta mke bali sex partner tu. Vile vile na mwanamke chini ya 30 atafute boyfriend tuMke muaminifu kwa huo mshahara wako ni sahihi kabisa! Haya waja njoeni mume si ndo huyu💃🏽
Uchanga kiumri unachangia kufeli katika maamuzi.Sijakuelewa apa maelezo kidogo please
Wewe sasa ndio unaelewa haya mambo! Ila mtu ambaye maisha yamemshinda anakuja humu kukomaa kutafuta vitoto aoe ni tatizo kubwa sana! Mtu anayejitambua hawezi kuoa au kuolewa akiwa mtoto!Mwenyewe bado mtoto na mawazo ya kitoto, anatafuta aoe mtoto. Nasema kabla ya 35 mwanaume asihangaike kutafuta mke bali sex partner tu. Vile vile na mwanamke chini ya 30 atafute boyfriend tu
Uko sahihi sana! Ni kweli hayana formula ila huo umri wengi wanaishia kuzalishana tu na kuachana! Maana wanakuwa hawajakomaa kiakili, hawaja experience inavyokuwa kuvumilia baadhi ya mambo na kuwa mke kunahitaji hekima, hasahasa kwa watu wenye ujuaji mwingi na hasira za haraka huwa hawadumu kabisa!Uchanga kiumri unachangia kufeli katika maamuzi.
Hapa nifanye nini,hapa niambie vipi
Huu ugomvi ama msala nausolve vipi
Ni la kuachana ama kuvumiliana?
Nichukue maamuzi gani nk
Ukomavu katika namana ya kufikiri unahitajika ili kufanya maamuzi ndoa idumu.kila siku katika Maisha mtapitia mengi..
So kama binti anaolewa akiwa na miaka 20 huyu anaweza akafeli katika maamuzi maana hajaexperiende life vya kutosha,kabalehe juzijuzi chini ya wazazi au walezi.hajapitia mengi bado.
Ndio maana zamani walikuwa Wana wasimamaizi ama washauri,likitokea jambo likiwashinda wanalipeleka Kwa hao wasimamaizi wao wanasolve Maisha yanasonga
Baadae miaka inavyoenda nao wanajikuta Wana uzoefu na kuwa washauri wa wengine wachanga.
Ila Sasa siku hizi unajiuliza why ndoa zinavunjika baada ya miezi miwili au sita?
Hata hivyo hayana formula
Wanashindwa kutofautisha uhanga aka upwiru na ndoa. Uhanga wa mara kwa mara kwa mwanaume, Tiba yake si ndoa bali kuwa na sex partner (s). Ndoa mara nyingi ni chanzo cha uhanga.Wewe sasa ndio unaelewa haya mambo! Ila mtu ambaye maisha yamemshinda anakuja humu kukomaa kutafuta vitoto aoe ni tatizo kubwa sana! Mtu anayejitambua hawezi kuoa au kuolewa akiwa mtoto!
Natamani wapuuzi wote wangejifunza wakaelewa hili! Acha waendelee kujazana ujinga kuwa kwenye ndoa in their 20s na ni kama kuondoka club saa 6 😆Wanashindwa kutofautisha uhanga aka upwiru na ndoa. Uhanga wa mara kwa mara kwa mwanaume, Tiba yake si ndoa bali kuwa na sex partner (s). Ndoa mara nyingi ni chanzo cha uhanga.
Kuna wenzio wanaziona nyingi mnoMke muaminifu kwa huo mshahara wako ni sahihi kabisa! Haya waja njoeni mume si ndo huyu💃🏽
Mwaka 2016 kijana mmoja aliniandikia ujumbe kuwa amempenda binti yangu aliyezaliwa 1992 kuwa anataka kumuoa. Nilimjibu, jibu moja tu; Unajua maana ya ndoa? Kijana wa akajipiga piga, nikasema umri wako (1990) na wa kwake hautoshi kuingia katika ndoa.Natamani wapuuzi wote wangejifunza wakaelewa hili! Acha waendelee kujazana ujinga kuwa kwenye ndoa in their 20s na ni kama kuondoka club saa 6 😆
😂😂😂😂Dah kmmkeToa location, nina mdogo wangu hapa mzuri mchapakazi 19, ila bikira hana kuna boda aliiong'oa majuzi kati
Vijana wa sikuhizi sio wavumilivu kabisa, akiona hata umetumiwa msg ya mambo anaanzisha ugomvi, mimi in 20s nilipata funzo moja kali sana! Muda wote simu inarukiwa kama mpira wa basket kuona nani kapiga au nani katuma ujumbe!Mwaka 2016 kijana mmoja aliniandikia ujumbe kuwa amempenda binti yangu aliyezaliwa 1992 kuwa anataka kumuoa. Nilimjibu, jibu moja tu; Unajua maana ya ndoa? Kijana wa akajipiga piga, nikasema umri wako (1990) na wa kwake hautoshi kuingia katika ndoa.
Mambo ya first world baadaye wakasema ati wamefunga ndoa ya kiserikali. Mimi nikauchuna na nikakaa na msimamo wangu kuwa ile si ndoa.
Mwaka 2018 the so called ndoa, chali. Nikamtumia kijana Meseji kuwa unaona nilichokueleza?
Mwaka 2022 kijana mwingine akajitokeza na kusema anataka kuoa binti yangu . Nilamuuliza tarehe ya kuzaliwa, ikaonekane ni zaidi ya miaka 30; nikatoa kibali. Mpaka sasa nina wajukuu wawili dume na kimalikia. Hii naamini watafikishana golgota.
Kwa maisha ya sasa hata sie tulioa tukiwa zaidi ya 30s maana hata kuacha au kuachika inakuwa ngumu sana. Umri huo naona K si kitu cha ajabu, hata ukimfumania mkeo, ameigawa unaangalia kwanza mapungufu yako na unasamehe ili maisha yasonge mbele.
Ukiwa under 30, Ukisikia mlio wa simu ya mkeo, unadhani ni king’asti.
Ndoa inataka kifua! Ustahamilivu na mwanaume unatakiwa kufikia wakati huo, uione K ni kitu cha kawaida.Vijana wa sikuhizi sio wavumilivu kabisa, akiona hata umetumiwa msg ya mambo anaanzisha ugomvi, mimi in 20s nilipata funzo moja kali sana! Muda wote simu inarukiwa kama mpira wa basket kuona nani kapiga au nani katuma ujumbe!
Mnakuwa hamna majukumu ya kuwaza zaidi ya kukaguana simu! Muda wote kesi hata mkitoka out ujinga ujinga tu usisalimiwe na mkaka kosa, namba za simu za wakaka zimafutwa zote kwenye simu! Ndani ya mwezi mna week moja tu ya kuchekeana zinazofuata ni kesi za kijinga jinga tu! ndio yale ya kusolve kesi mpo kwenye swimming 🤦🏽♀️
Una hasira kama avatar yako😁
Shenz sana,pumbavu sanaPiga nyeto upumzike kijana mdogo.
Missy Gf upo?Wanawake wa siku hizi bila hela ya skin care utaishia kuwaona huko insta
Ongeza kipato mkuu
Mjukuu wewe unataka ndoa kwani, nina kijana hapa anataka mke😂gat yuuuu🤗
imagine alafu utataka mtoto, alafu huyo mtoto baba yake awe anamhudumia hukohuko mbalimbali huu ni ujinga ambao upo kichwani kwako, pia ni kumnyima mtoto haki yake ya kuwa karibu na wazazi wakeSiitaji ndoa
Manifest:SIITAJI NDOA ✅️