win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,586
- 7,427
Hata najua basi dodo hili hapa binti💃😂
Uzi wako unaonyesha we ni mpumbavujina lako linaonyesha kua umepotoka
yaani msichana kama ni bikra, jinsi umri unavyopanda na thamani yake inapandaUmri baba umri🥹👐🏽
Sina mtoto wa kike ndugu yangu.
Sifa zangu:
1. kipato 400k kwa mwezi
2. umri: miaka 25 ( naelekea 26 sasa )
3. hulka: mstaarabu na muaminifu.
NB. Kipato chetu kinakadiriwa kufikia 5M kwa mwezi kufikia 2029 na 27M kwa mwezi kufikia 2032 ( kutokana na dira ikienda sawa )
Halafu tukutane aanze kunisalimia shangazi yake🤭We punguza umri, mwambie mkali una 25.
Bikira 😅Kwakweli ukiwa hujaoa bado hujakamilika unakuwa upo nusu, duniani kuna jinsia mbili kwa maksudi kabisa, na ili maisha yaende yalivyopaswa ni lazima mwanaume aungane na mwanamke wawe kitu kimoja. sote tumeumbwa ili kutengemeana, ni kama ilivyokua ngumu kuvaa kiatu mguu moja huku mwingine upo peku, nasi tukiumbwa ili kuja kuwa pair.
Kwa dhati kabisa nami natafuta msichana wa kuoa mwenye sifa chache kwakua hakuna aliyekamilika nami pia nitaweka sifa zangu chache ili kuona ni mtu wa namna gani
1. awe bikra
2. umri miaka 18 - 22
Sifa zangu:
1. kipato 400k kwa mwezi
2. umri: miaka 25 ( naelekea 26 sasa )
3. hulka: mstaarabu na muaminifu.
NB. Kipato chetu kinakadiriwa kufikia 5M kwa mwezi kufikia 2029 na 27M kwa mwezi kufikia 2032 ( kutokana na dira ikienda sawa )
Hatakama una ndugu yako, rafiki au yeyote anayekidhi vigezo naomba uniunganishe naye.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
sawa Sister Abigail ahsante sana...Kila la heri.
Ila Kwa huo umri wengi m akiwa immature katika maamuzi mnafeli ndio maana ndoa nyingi hazidumu.
Ukimpata jipeni muda kidogo
Thamani ya nini? Unaongeza ng’ombe?yaani msichana kama ni bikra, jinsi umri unavyopanda na thamani yake inapanda
Mumchunguze kama ni mla utumbo, maana vijana wengi skuizi ni Wala utumboMke muaminifu kwa huo mshahara wako ni sahihi kabisa! Haya waja njoeni mume si ndo huyu💃🏽
hii ipo ndani ya dira kwaiyo nitamuelewesha, mfano miaka miwili nyuma nilikua na almost 0 - 50k ila moango mkakati umenifikisha 400kSina mtoto wa kike ndugu yangu.
Kipato cha 400K kwa mwezi unakikuza vipi mpaka kufikia milioni 5 ndani ya miaka 3?
hapana si thamani ya ng'ombe bali thamani ya mwanamke, imagine kukuta msichana mdogo bikra ni most likely ila anavyoendelea kukua kukua bikra ni rare, kwaiyo ukiwa na umri mkubwa na ni bikra wewe ni goldThamani ya nini? Unaongeza ng’ombe?
Sawa baba pambania gold yako huwezi juwa..hapana si thamani ya ng'ombe bali thamani ya mwanamke, imagine kukuta msichana mdogo bikra ni most likely ila anavyoendelea kukua kukua bikra ni rare, kwaiyo ukiwa na umri mkubwa na ni bikra wewe ni gold
sasa mkuu nguvu zote unamalizia kwenye nyeto unakuja kuoa baadae, wewe umepotoka kabisaUmri mzuri kabisa kwa kijana kukaza kupiga nyeto yeye anakimbilia kuoa. Na kwa taarifa yako utajiri hauhesabiwi hivyo,utajiri huja wenyewe kama umeweka malengo thabiti. Kama utaoa hiyo 2032 huenda ukawa unalima vibarua kujikimu. Usitukane mamba kabla hujavuka mto. Piga piga nyeto angalao ufikie 35 utakuwa tayari umejipanga kwa ndoa
Oyaaa mnamkatisha tamaa mwana!Mumchunguze kama ni mla utumbo, maana vijana wengi skuizi ni Wala utumbo
Sijakuelewa apa maelezo kidogo pleaseKila la heri.
Ila Kwa huo umri wengi m akiwa immature katika maamuzi mnafeli ndio maana ndoa nyingi hazidumu.
Ukimpata jipeni muda kidogo
kwani wanawake bikra wamekatazwa kutumia mitandao ya kijamii, wapo wengi bikra hata kina Seran utawakuta ni bikra kabisa...Si kwamba nakuvunja moyo lakini mkuu kutafuta mke mtandaoni ni ishara ya udhaifu kwa mtoto wa kiume
Mbaya zaidi awe bikra hii ndo ngumu kuliko hata ugumu wenyewe
Ni rahisi kupata bikra kwa changudoa kuliko kupata mwanamke bikra mtandaoni