Nina sababu ila siwezi kuziweka hapaKwanini unakua na misimamo ya hivyo?
😂😂Wanawake wa siku hizi bila hela ya skin care utaishia kuwaona huko insta
Ongeza kipato mkuu
Sio kweli , wanawake wametofautiana kila mmoja anavipaumbele vyake hizo skin care kuna wengine hata hawazijui na ni warembo mnoWanawake wa siku hizi bila hela ya skin care utaishia kuwaona huko insta
Ongeza kipato mkuu
Oooh sawaNina sababu ila siwezi kuziweka hapa
Moja wapo ya sababu nina hasira kisado, hasira ina magika kwa wanaume wa saivi baadhi yao naweza kuishia magereza yann yote hayo 😁Wanawake wa siku hizi bila hela ya skin care utaishia kuwaona huko insta
Ongeza kipato mkuu
Skin care sio ya kila mtuWanawake wa siku hizi bila hela ya skin care utaishia kuwaona huko insta
Ongeza kipato mkuu
Uwe na hasira na skin care hata 100k haifiki?Moja wapo ya sababu nina hasira kisado, hasira ina magika kwa wanaume wa saivi baadhi yao naweza kuishia magereza yann yote hayo 😁
Papa hapa sijakuelewaUwe na hasira na skin care hata 100k haifiki?
Una hasira ya vitu vidogo vidogo ambavyo ukijipanga unavifanya bila kumsumbua tu mtuPapa hapa sijakuelewa
mtumeeeeee🤣🤣🤣 we si ulisema unataka mtu wa kufa na kuzikana naeKama kuchezeana sawa 👍
Ila ndoa sitaki akuuu
Sina hamu ya kumpelekea maji bafuni mtu mzima asie kilema 😁
Au tutatumia bomba la mvua et 😁
hapana sio hivyo ila nimekukumbuka wew na ile picha yako ya mdada sijui mmama wa mwaka 70,, humu tulikua Singo mi na wew ila mi nishaangukia, nipo nakutafutia na wew🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila Win kwann lakin😂😂
Nacheka mimi uwiii
Mie naonekana nina genye sana 😂🙌🙌
Hapana kwanza sina kawaida ya kusumbua isipokua kuna mambo fulani tu😁Una hasira ya vitu vidogo vidogo ambavyo ukijipanga unavifanya bila kumsumbua tu mtu
Umenifananisha mahi mie ni wale single waliofika kileleni😁mtumeeeeee🤣🤣🤣 we si ulisema unataka mtu wa kufa na kuzikana nae
😁😁 hata sikumbuki ila usiache kunitag 😂hapana sio hivyo ila nimekukumbuka wew na ile picha yako ya mdada sijui mmama wa mwaka 70,, humu tulikua Singo mi na wew ila mi nishaangukia, nipo nakutafutia na wew🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jiongeze mkuu labda kijana anayo hio hela ya skin care jaribu kuingiza mguu kwenye huo mto uuone una kina kirefu kiasi ganiWanawake wa siku hizi bila hela ya skin care utaishia kuwaona huko insta
Ongeza kipato mkuu
ngoja nikukumbushe jibu lake.kipato cha 400K kwa mwezi unakikuza vipi mpaka kufikia milioni 5 ndani ya miaka 3?
" i have a plan you have to trust me man "
Sweet mom 🥰Sawa umweleze Seran kama unaogopa kufunguka