Natafuta mmama/Binti wa kunichua

Natafuta mmama/Binti wa kunichua

Aisee,pepo la ngono linakusumbua.Tafuta Mchungaji wa kiukweli akuombee.
Jamani, hivi kuna watu mnawaza ngono tu daily. Ninyi ndo wale ukiona choo tu unataka kujisaidia. Hivi dunia ya leo utakosa msichana wa chapu chapu hadi ulete uzi JF?
 
Nimeandikiwa na daktari dawa fulani ya kuchua mgongoni. Napata shida jinsi ya kupaka dawa hiyo hivyo nahitaji mtu wa part time kwa ajili ya kunichua TU asubuhi na jioni
Posho: 10,000 kwa siku
Usafiri juu yangu
Ukitaka nije kwako pia naweza
Njoo PM
Niko Dodoma
Huna mke au mpenzi afanye kazi hii?
 
Ningekuwa nataka demu ningesema. Namwogopq nani humu?
Unatafuta Demu usitudanganye,kachukue kahaba yapo dodoma pale NK likakuchue shida iko wapi?huna haja ya kumpa usafiri wala nini na ukitaka hyo huduma nyingine unaongeza buku 5 unamaliza!
 
Back
Top Bottom