Natafuta mke wa kuoa awe na sifa hizi

Natafuta mke wa kuoa awe na sifa hizi

Mr Eli

Member
Joined
Dec 23, 2024
Posts
23
Reaction score
16
Mimi ni Mwanaume wa miaka 27 ,
Dini yangu, ni mkristo.
Naishi DAR
Kazi yangu ni muajiliwa
Elimu yangu ni DIPLOMA.

Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,

Awe mkristo

Awe anaishi Dar
Awe ameajiliwa au anafanya biashara

Awe na miaka kwanzia 20 adi 26.

ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO ANIFUATE PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom