Wakuu kwema
Mimi ni kijana umri Wa miaka 31
Elimu: Bachelor degree ya Computer Science
Kazi: Software developer
Nimeajiriwa
Tayari Nina Mtoto Mmoja Wa kiume.
Rangi Mweusi
Urefu 5.9
Dini Mkristo
Sifa Mwanamke ninayemhitaji
Umri kuanzia 25-30
Awe na hofu ya Mungu
Sihitaji sifa nyingine zaidi...
Ndugu zangu natafuta mke wakuoa sifa awe muislam elim yoyote awe mikoa jiran na arusha.umri kuanzia 21 mpaka 30.mim sifa zangu ni muislam umri 33 ninaish arusha nimejiajiri.aliyetayar karibu pm
Uwe mkristo
Uwe una shughuli ya kufanya
Usiwe na mtoto
Miaka kuanzia 25-30
Uwe unaishi Dar
Uwe mpambanaji
Uwe unajua kupika masotojo
Nipo serious natafuta mke njoo Dm
Miaka yangu ni 28
Naishi mkoa wa Iringa
Kazi yangu kwa sasa ni machinga
Natafuta mke wa kuoa
Miaka 22-25
Asiwe na mtoto
Awe muwazi na mkweli
Mwenye kuheshimu kila mtu
Elimu yoyote
Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
Natafuta mke wakuoa mwenye umri kuanzia 32 mpaka 38, kabila lolote, Dini awe mkristu. Mimi nina umri wa miaka 35, mkristu pia, kazi ninayo awetayari kupima.
Kwa mawasiliano zaidi karibu pm tuma namba au ujumbe kwa email flavianflorian0@gmai.com.
Namuhitaji mke ambaye Yupo tayari kwa ndoa na siyo utani. Kama Yupo aje PM. Vigezo:
1. Umri usizidi miaka 30
2. Mkristo
3. Awe anapenda ujasiriamali
4. Mweusi na Mnene
5. Asiwe amesomea kozi za sheria
6. Awe na utayari wa ndoa, Asiwe na tamaa
SIFA ZANGU
1. Mkristo
2. Muajiriwa sekta...
Utamaduni huu naomba kwangu ubaki maana Ndoa nyingi siku hizi hakuna japo tunaona sherehe nyingi sana kuliko Ndoa.
mimi naomba wazazi wangu wanitafutie mke atakayenifaa hivo tu sijajua kwako kijana mwenzangu una maoni gani juu ya hili.
Natafuta mke wakuoa, mwenye sifa hizi
Umri-25-40
Dini -yeyote
Kabila -lolote
Kazi- yeyote
Sifa zangu ni
Umri-34-37
Dini -mkristo
Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri
Mwenye utayari anitafute kwa namba mke mtarajiwa awe na hofu ya Mungu. Pia awe anajitambua na anajua anachofanya .
Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya muda mfupi, si zaidi ya miezi 6.
Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.
Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida...
Habari Wana JF.
Naitwa parson,
Nina umri wa miaka 35,
pombe na sigara situmii,
Kazi mjasiriamali (mdogomdogo) mwenye malengo makubwa.
Sifa ya mke nimtakaye.
Umri kuanzia 30-36
Kabila -lolote
Dini- yeyote
Rangi -Natural (asiwe wadukani)
Elimu- kuanzia kidato Cha nne mpaka chuo kikuu.
N:B Eva...
Habari zenu wakuu?
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza natafuta mke wa kuoa awe serious na maisha umri miaka 24_30 kabila lolote ili mradi awe mtanzania dini sichagui wala rangi sijui sura mimi sichagui.
Najua kuna wanawake wangependa kujua kipato changu mimi kwa sasa nabangaiza...
Wapendwa wa Jamii Forums,
Nawasalimuni nyote! Kisha napenda kuwashirikisha jambo langu. Sina mambo mengi. Kwanza kabisa, WANAUME wenzangu hii haiwahusu kabisa. Labda kama unamjua mwanamke wa aina hii nayotafuta umwelekeze yeye mwenyewe awasiliane na mimi. Nataka kuoa. Sifa zangu na za huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.