Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,000
- 95,484
Bro naona siku hizi ume kuwa msanii 🤔🎶🎶Pawa pawa naishiwa pawa🎵
Hili limeisha sitakuangusha lazima nikulete wifi
Bro naona siku hizi ume kuwa msanii 🤔🎶🎶Pawa pawa naishiwa pawa🎵
Hili limeisha sitakuangusha lazima nikulete wifi
angle tu uliyoamua kukaa inakufanya unione msaniiBro naona siku hizi ume kuwa msanii 🤔
Kaka nime kaa obtuse angle, achia gomaaaangle tu uliyoamua kukaa inakufanya unione msanii
Wadau tupo hatuto mtupa tutasikiliza ngoma zake zote 😆😆Kaka nime kaa obtuse angle, achia gomaaa
Haya haya usijali baby mumeo nipo hapa kimara bucha, weye uko pande zipi leo tuonane?Nina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat,
ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba
Kuanzia miaka 30,na kuendelea..kuhus apprearance ni muhim lakini kikubwa ni tabia.
Ungeweka na tupicha twako wadau wasagureNina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat,
ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba
Kuanzia miaka 30,na kuendelea..kuhus apprearance ni muhim lakini kikubwa ni tabia.
Ndo maana nikakuita, mkali wa hizi kazi🎶🎶Pawa pawa naishiwa pawa🎵
Hili limeisha sitakuangusha lazima nikulete wifi
Awe na pesa za kianzio kama sh ngapi ?Nina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat,
ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba
Kuanzia miaka 30,na kuendelea..kuhus apprearance ni muhim lakini kikubwa ni tabia.
Kuongezeka kwa hizi nyuzi maana yake vijana wa kiume hamtimizi majukumu yenu.It's matter of time... Nyuzi hizi 2035 zitaongezeka
Mungu atende vyema'' kwako na umpate aliye hitaji sahihi la Moyo wako
HeheehheehAwe na pesa za kianzio kama sh ngapi ?
How much is that ?Heheehheeh
Niko hapa kijana wa mkoaniNina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat,
ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba
Kuanzia miaka 30,na kuendelea..kuhus apprearance ni muhim lakini kikubwa ni tabia.
😂😂😂Alete jina lake nimpe udambuzi dambuz wakeNyota yake ya leo inasemaje kwanza😁😁
😂😂😂 Sawa mkuu, ila siwezi kuwa na mwanamke wa kibongo ambae ameenda shule kunizidi ni vijuaji sana hivi, labda kama ni wa nje.
Mie niko kote kote.Duh, ww ni wa kike au wa kiume?
Mgombea wa jimbo langu, ni wa kupita bila kupingwa, afu fomu ni 1 tyuh, na ameshachukua tayari.
Mwaka wa uchaguz huu, nakuja kutangaza nia
Kwa hiyo kinyesi kinapakulikaMie niko kote kote.