Natafuta mchumba wa kiume

Natafuta mchumba wa kiume

Nina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat,
ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba
Kuanzia miaka 30,na kuendelea..kuhus apprearance ni muhim lakini kikubwa ni tabia.
Nataka niongeze mke upo tayar kuwa second wife.

Ila kwanini usitafute kwenye cycle yako mfano kwenye wateja wako, nyumba ya ibada, school mates in all level of your education, mtaani Kwako,sokoni, kwenye jumuya mbali mbali utakazo jumuika e.t.c kwa Nini umekuja humu jukwaani

Tuachane na hayo..

Ntatimiza Majukumu kama baba wa familia Cha msingi uwe second wife

Motive behind

Ukoo wetu upo kwenye tishio la kutoweka maana tupo wachache so najitahid angalau niwe na watoto 10 mpaka 20 nipo kwenye huu mkakati wangu kuhakikisha ukoo wetu uendelee kuwepo kwenye hii dunia vizazi na vizazi.

Naomba kuwasilishaaa.
 
Ntumie picha nikuone sasa, maake wauza cosmetics vs ngozi zao changamoto kidg
 
Wenye bahati zao i hope watakua washakupata. Nawatakia maisha mema na marefu.
Though na mimi nipo single😜
 
Nitafute, hope seriously..tunaweza onana...na kuongea hii issue...nipo interested pia, nipo dar now
 
Nina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat,
ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba
Kuanzia miaka 30,na kuendelea..kuhus apprearance ni muhim lakini kikubwa ni tabia.
Tangazo lako bado valid? Karibu tuwasiliane tuyajenge. Asante.
 
Nina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat,
ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba
Kuanzia miaka 30,na kuendelea..kuhus apprearance ni muhim lakini kikubwa ni tabia.
Njoo piem mrembo, bahati umesha ipata na nipo laivu endi singo boy...😘
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom