Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Ana umri gani kaka. Kwangu kuna vidume 2 katika hivyo vitoto sema kama unahitaji niambie.
Amezaliwa 2006
Ana umri gani kaka. Kwangu kuna vidume 2 katika hivyo vitoto sema kama unahitaji niambie.
Mkuu ukitaka kupata mbwa mzuri usikubali kununua mbwa bila kuwaona wazazi wa hao mbwa wenyewe!mimi kuna kijana aliniingiza mjini kaniuzia mbwa wa Iringa sijui kama unawafahamu!wana manyoya mengi!!!!kanidanganya ni wa kipolisi na mimi kwa kuwa nilikua na shida ya mbwa na pia siwafahamu nikapigwa changa la macho laki 2 mbwa wawili!yanh mbwa hawabweki wala nini!jamaa nikimuuliza anasema bado wadogo!sasa nikawa nashangaa mbwa wanabweka wakiwa na umri gani?
Nikaja kwenda kwa jamaa yangu yeye anao pure Germany Sherpherd akaniambaioa hao wa kwako sio , akanigizia nikaenda kununua wawili walikua na umri wa mwezi mmoja kila mbwa mmoja nilinunua kwa laki 2!walikua wadogo sana kiasi kwamba niliwawekea bill ya maziwa kwani walikua hawawez kula!ila kwa sasa wana mwaka mmoja yanh huamini!ni wakali vibaya mno!
Sasa cha kushangaza mbwa ana mwez mmoja anabweka wakat nilikua na hao wa Iringa walikua na miezi karibia mitano no kubweka wala nini.
Nime ku PM chek msg yako mkuu
dr phone ndg yangu mbwa bei ghali sana ila kwa vile wewe ni ndg yangu tuwasiliane privately nikupatie kamoja mchanganyiko wa German shepherd na Bull dog ila ujiandae kwa chakula huu mkorogo maalumu unakula chakula sana na sio makombo inabidi uwape super dog na matibabu mara kwa mara.
Dr Pole kwa vibaka. Mbwa kwa sasa ni ghali sana. Wa miezi 2 wanafikia kama laki 3 hivi. Wakizidi hapo wanafika mpaka 6 hadi 7. Kwa sasa mbwa waliofundishwa hufika hata 1m kama member 1 alivyosema. Ukinunua hawa wa miezi 2 unawakuza wakifikia kufundishwa unamtafuta mwalimu anafundisha kwa mwezi 1 ni 120,000. Mwezi mmoja unatosha kabisa kama mwalimu ni mzuri.
Huku Moshi wanapatikana ila lazima uwe mwangalifu sana kuchagua.
Mimi kwa sasa ninao wale pet dog (wa urembo). Pure white bolognise. Wana miezi miwili kwa sasa and very active. Kwa wanaohitaji wani PM
ninayo mchanganyiko wa giant schnauzer na German shepherd . ila bei ni kubwa kama una $ 1000 kwa pupies tafadhali ni pm. hii mbegu ni balaa .ukicheza wanakutafuna hata wewe .
Mkuu ukitaka kupata mbwa mzuri usikubali kununua mbwa bila kuwaona wazazi wa hao mbwa wenyewe!mimi kuna kijana aliniingiza mjini kaniuzia mbwa wa Iringa sijui kama unawafahamu!wana manyoya mengi!!!!kanidanganya ni wa kipolisi na mimi kwa kuwa nilikua na shida ya mbwa na pia siwafahamu nikapigwa changa la macho laki 2 mbwa wawili!yanh mbwa hawabweki wala nini!jamaa nikimuuliza anasema bado wadogo!sasa nikawa nashangaa mbwa wanabweka wakiwa na umri gani?
Nikaja kwenda kwa jamaa yangu yeye anao pure Germany Sherpherd akaniambaioa hao wa kwako sio , akanigizia nikaenda kununua wawili walikua na umri wa mwezi mmoja kila mbwa mmoja nilinunua kwa laki 2!walikua wadogo sana kiasi kwamba niliwawekea bill ya maziwa kwani walikua hawawez kula!ila kwa sasa wana mwaka mmoja yanh huamini!ni wakali vibaya mno!
Sasa cha kushangaza mbwa ana mwez mmoja anabweka wakat nilikua na hao wa Iringa walikua na miezi karibia mitano no kubweka wala nini.
Nime ku PM chek msg yako mkuu
cjakuelewa binamu asa kwenye red
huyu ndie chihuahua...............Google Image Result for http://dogdetails.files.wordpress.com/2009/11/118-chihuahua-dog.jpg