IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,385
yeah Preta!..umemaliza yotehao waliotajwa pia ni wachache.....tupo lundo la kutosha....achague yoyote kati ya hao amPM....atampa maelezo yote.....karibu sana
yeah Preta!..umemaliza yotehao waliotajwa pia ni wachache.....tupo lundo la kutosha....achague yoyote kati ya hao amPM....atampa maelezo yote.....karibu sana
Sure mkuu,..mimi atanikuta Lennanar resort bila mawaaa yoyote,....wengine week end ni get busy fullKaribu sana....mzee wa Rula, Pakajimmy, Igwe, Sahara voice, Loner, preta, voice of reason, baba ubaya tumekupokea...weekend inayokuja tegemea mtoko kutoka kwa those frez!
si umeona kiongozi_yaani baba ubaya ni full kaadimika,....plz come back to Jf brother...we miss you mkuuDuuuuh mkuu umeadimika vibaya mno, poa mgeni keshafika nadhani tutamfatuta ili alijue jiji.
good mkuuNimeku-PM
Huu urafiki wa kutafutana me hua sikukbali kiviile!
urafiki unatakiwa kutokea automatically. we kua na subira, kama ni kanisani/msikitini, viwanja vya michezo,
klab, ofisini, jirani zako, kwene shughuli za kiofisi n.k lazimatu utajikuta umepata marafiki.
sikupingi. ni mawazo yangutu.
acha kufundisha watu jinsi ya kuishi,...kama wewe haupendi wengine mbona tunaona poa,..na tuna marafiki tumewapata kwa njia hii na wako fresh,..........Huu urafiki wa kutafutana me hua sikukbali kiviile!
urafiki unatakiwa kutokea automatically. we kua na subira, kama ni kanisani/msikitini, viwanja vya michezo,
klab, ofisini, jirani zako, kwene shughuli za kiofisi n.k lazimatu utajikuta umepata marafiki.
sikupingi. ni mawazo yangutu.
hao waliotajwa pia ni wachache.....tupo lundo la kutosha....achague yoyote kati ya hao amPM....atampa maelezo yote.....karibu sana
Itabidi nikuzukie siku moja mitaa yenu hiyo mkuu. Niandalie mapochopocho ya kila aina maana kwa kula mimi hunitoi.
Habari zenu.
Nina wiki ya tatu sasa kwenye huu mji wa watu, nimehamishiwa hapa kikazi mgeni na sina marafiki. Kwangu mimi marafiki wanathamani ya pekee katika maisha yangu.Nawakaribisha wote, wa kike na wakiume, mimi ni msichana mchangamfu na napenda marafiki.Tafadhali ni PM kama unania.
Karibu sana....mzee wa Rula, Pakajimmy, Igwe, Sahara voice, Loner, preta, voice of reason, baba ubaya tumekupokea...weekend inayokuja tegemea mtoko kutoka kwa those frez!
Sure mkuu,..mimi atanikuta Lennanar resort bila mawaaa yoyote,....wengine week end ni get busy full
yeah man!...home mby lakn kwa sasa niko hapa a town,..maeneo ya stand ya vifodi nabrash viatu hapo kiongozi wangu,..ila w/end nakula bata sehemu hizo pamoja na zingine zinazofanana na hizomkuu huwa nahisi uko pande za mbeya kumbe uko hapa chugga!