Yan! Kwely mbongo akipata ------ hulia mbwatah! Ou yeah! Yan watu wanajisif wakiwa bongo! Eti hatubebany! Wakaty ushukuru kwa msaada uliopata! . Acha mbwembwe kyjana!
Ntafute ikifika mida ya kufungua chuo uwe na kuanzia sh 300,000 adi 400,000 kama unataka express na ni kwa #main campus wanaume na wanawake - 0787 40 46 92 .
Nb: If your seriously searching and need of it.
Ntafute ikifika mida ya kufungua chuo uwe na kuanzia sh 300,000 adi 400,000 kama unataka express na ni kwa #main campus wanaume na wanawake - 0787 40 46 92 .
Nb: If your seriously searching and need of it.
Mi nilim'beba mtu mwaka 1996/97 pale hall 2 floor ya 3 na nikabebwa hall 5 floor ya nane vile vyumba vikubwa vya pembeni,mwaka 1997/98/99, na 1999/2000 nilim'beba mtu pale hall six... Hivyo naelewa sana unapoongelea maswala ya kubebwa/kubeba....
Ila mda bahati siku hizi kuna simu, sisi enzi zetu unavizia mtu eidha kasoma shule ulikosoma au mnatoka kijiji kimoja au rafiki wa wazazi/ngugu yako katangulia chuo ndo unamuwahi