Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,976
- 32,276
Mimi ni Mdada niliyemaliza form Six, na kwa sasa sina ajira yoyote.
Ila nahitaji kufanya kazi za ndani (U-housegirl) kwa mwanaume ambae amefiwa na mkewe (Mgane) AU Ameachana na mkewe.
Umri mwisho miaka 50 maana wanakuwa na nguvu,after hapo huwa hawana nguvu.
Mimi ni mwaminifu,
Mcha Mungu,
Msafi na Nina Upendo.
Nitamuhudumia kwa Upendo wa Kweli.
Mshahara: Maelewano ila kuanzia 80,000/=
SIHITAJI WAZEE.
NOTE:
Sihitaji kufanya kazi kwa mwanaume ambae hajaoa,yaani bachela,maana huwa ni wasumbufu sana kila ifikapo mwisho wa mwezi.
Alie tayari ani-PM
Ila nahitaji kufanya kazi za ndani (U-housegirl) kwa mwanaume ambae amefiwa na mkewe (Mgane) AU Ameachana na mkewe.
Umri mwisho miaka 50 maana wanakuwa na nguvu,after hapo huwa hawana nguvu.
Mimi ni mwaminifu,
Mcha Mungu,
Msafi na Nina Upendo.
Nitamuhudumia kwa Upendo wa Kweli.
Mshahara: Maelewano ila kuanzia 80,000/=
SIHITAJI WAZEE.
NOTE:
Sihitaji kufanya kazi kwa mwanaume ambae hajaoa,yaani bachela,maana huwa ni wasumbufu sana kila ifikapo mwisho wa mwezi.
Alie tayari ani-PM