Hamna shida, ilimradi awe alishawahi ishi kindoa halali na mwanamke.
Watu bwana kwani kiswahili hamuelewi?kasema mgane (mwanaume alifefiwa na mkewe) na amesema asizidi miaka 50 ndo maana watoto wanazidi kufeli.kweli mwaya Madame B bachelor wasumbufu sana.halafu ongeza dau form six angalau uanzie 150,000
Madame B mpenzi wangu unahangaika nini ?je huriziki na penzi langu?,mimi nipo kwa ajili yako!asante.
Pia nitajitahidi kumsahaulisha machungu ya mkewe.
Teh teh teh!kwa nini unapenda vijana?Hapana dada.
Siko tayari kufanya kazi kwa mzee.
Ni mgane.
Mjane ni kwa wanawake.
Hahaha mrembo Cynthia Chriss, yaani pamoja na kuwawekea maelezo yaliyojitosheleza, lakini bado hawaelewi.
Dau ataongeza mwenyewe kwa maana huduma zangu za Ulezi ni Bab K.
Asante.
Pia nitajitahidi kumsahaulisha machungu ya mkewe.
sasa kazi za ndani tu zitamfanya asahau machungu ya mkewe!Jamani, mie nitamfanyia kazi za ndani tu.
Hapana dada.
Siko tayari kufanya kazi kwa mzee.
Ni mgane.
Mjane ni kwa wanawake.
Madame B mpenzi wangu unahangaika nini ?je huriziki na penzi langu?,mimi nipo kwa ajili yako!
Ben Saanane umeona mambo ya madame b!
kazi za ndani...na hata yale mambo yetu hufanyika ndani!utayafanya?Jamani, mie nitamfanyia kazi za ndani tu.
Nataka kuanzisha kampuni kubwa ambayo wewe mpenzi wangu utakuwa mkurugenzi mtendaji!utaanzia mshahara wa milioni nne kwa mwezi,unaonaje wazo langu mpenzi?Sihitaji Penzi.
Nahitaji Pesa.
Pesa zako za masimango nimezichoka TUKUTUKU.
Heri nifanye kazi ili kujiongezea kipato.