mboperatransy
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 323
- 1,362
- Thread starter
- #41
department gan kwenye nin?
mkuu tupe uzoefuHizo kazi zipende kwenye movie tu....maana hawamjali mfanyaji bali kinachofanywa....ogopa sana hii kazi wanaoifanya wanaijua chungu yake..
HahahahaaaaaaaaUpo department gani mkuu?
Nitaku PM mkuuNi PM
Jamaa povu linamtoka hapo juu...Hahahahaaaaaaaa
Yeah nimeona hadi ameamua kutukanaJamaa povu linamtoka hapo juu...
teh teh teh...Yeah nimeona hadi ameamua kutukana
naipenda sana nchiyangu, napenda sana kufanya kazi kama usalama wa Taifa katika nchi hii,lakin sijawah ona maombi ya kazi ya hawa usalama wa taifa nifanyeje napenda sana:dance:
Poa M-pesa ya ni 0756894811.. Tigo-pesa ni 06555894811..Nitaku PM mkuu
SawaPoa M-pesa ya ni 0756894811.. Tigo-pesa ni 06555894811..
!?!?!huyu labda usalama wa kutumwa pedi za hawala wa babu
Dead [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unaipenda sana nvhi yako kazi nzuri kwako ni ualimu na uafisa kilimo.
Usalama wa Taifa siku hizi wamekuwa uhasama wa Taifa kazi yao ni kung'oa watu kucha na meno.
Upo sahihi aiseeKwanza Mwanzilishi wa Mada Hii Inaonekana haupo Serious halafu Unafanya Masihara na Kwa Masihara hayo hayo Tayari Huna Sifa za Kuwa Secret Agent Kwani Unaonekana Unaitaka Sana Wakati Haiko Hivyo Kwani Wenyewe Wahusika Wa Kufanya Recruit Wapo na Wanachagua Watu Wao Kulingana na Vigezo Vyao na Hawakuangalii Ukiwa NJEMBA ( Mkubwa Hivyo Ulivyo Sasa ) bali Kipaji cha Mtu wa Espionage Huonekana Mapema Sana Akiwa Mdogo na Haswa Kuazia Primary School. Wewe cha Kufanya Kafie Mbele tu na Kazi Zipo Nyingi! Umejaribu PCCB? Huko Nadhani Kwa Njaa Uliyonayo Panakufaa ila Siyo Sehemu Nyeti Kama TISS. Tokea Uzaliwe Huko UNYARUGUSUNI Kwenu ni Lini Umesikia Kazi za Usalama wa Taifa ZINATANGAZWA? Acha Masihara Kijana / Binti.