Upo sahihi aisee
Kwakifupi watu wa mfumo wapo kila mahala, ktk taasisi zote kuanzia mashuleni na kada zote, hivyo mlengwa huwa anaonekano popote atakapo kuwepo, kinachofanyika mtu unafuatiliwa kuanzia shuleni hivyo unasongambele bila kujitambua mwisho wa siku unajikuta umeingia kwa kupitia kada yoyote ile ambayo unaiweza.mkuu wao wanakutafuta kwa njia gani?
mkuu kwa sisi ambao hatupo ktk mfumo yaan hzo tasisi tunawezA kupatajE?Kwakifupi watu wa mfumo wapo kila mahala, ktk taasisi zote kuanzia mashuleni na kada zote, hivyo mlengwa huwa anaonekano popote atakapo kuwepo, kinachofanyika mtu unafuatiliwa kuanzia shuleni hivyo unasongambele bila kujitambua mwisho wa siku unajikuta umeingia kwa kupitia kada yoyote ile ambayo unaiweza.
Ukijiona wewe haumo basi huna sifa ndugu, acha kupoteza muda, fanya mengineyomkuu kwa sisi ambao hatupo ktk mfumo yaan hzo tasisi tunawezA kupatajE?
poa mkuu nimekuelew bt inaonekana kupata kazi hyo idara ni zaidi ya kipaji aisseeee.lUkijiona wewe haumo basi huna sifa ndugu, acha kupoteza muda, fanya mengineyo
Huyo anaonesha hayupo makini katika kusoma,alichotaka kukifanya ni kuonesha kuna kitu anakijua bhasiii
Gentamycin
Hizi sifa ninazo ila sikuwahi kufuatwa na hawa jamaa. Pengine Mungu hajaweka mkate wangu huko. Kwa sasa nalinda CCM yetu idumu na kuisaidia polisi with free intelligence service whenever necessary na maisha yanaendelea
hapo sasaUmepata sawa
Usitudanganye nduguNimechoshwa na hii kazi, nataka kuiacha ila nahofu
Hongera yako mkuu ila uwe mzalendo kweliUmzaniae ndie kumbe sie,Asante Mungu nilichoitaji nimekipata tena bila support ya MTU,Only God can
wewe ni kitasa tuu tumeshakuzoeaKwanza Mwanzilishi wa Mada Hii Inaonekana haupo Serious halafu Unafanya Masihara na Kwa Masihara hayo hayo Tayari Huna Sifa za Kuwa Secret Agent Kwani Unaonekana Unaitaka Sana Wakati Haiko Hivyo Kwani Wenyewe Wahusika Wa Kufanya Recruit Wapo na Wanachagua Watu Wao Kulingana na Vigezo Vyao na Hawakuangalii Ukiwa NJEMBA ( Mkubwa Hivyo Ulivyo Sasa ) bali Kipaji cha Mtu wa Espionage Huonekana Mapema Sana Akiwa Mdogo na Haswa Kuazia Primary School. Wewe cha Kufanya Kafie Mbele tu na Kazi Zipo Nyingi! Umejaribu PCCB? Huko Nadhani Kwa Njaa Uliyonayo Panakufaa ila Siyo Sehemu Nyeti Kama TISS. Tokea Uzaliwe Huko UNYARUGUSUNI Kwenu ni Lini Umesikia Kazi za Usalama wa Taifa ZINATANGAZWA? Acha Masihara Kijana / Binti.
Nakuona kiongozi wamekuleta kwenye uwanja wako wa nyumbani unatiririka kma vile uko ndani mtihani wa mwisho afu umefumania swali unalolifaham. Wape madini vijanaKijana kufanya Kozi ya JKT siyo Kigezo cha kuwa Qualified kwa Kazi ya Intelligence na sidhani kama kweli hiyo Idara yenu sijui TISS inaajiri kwa kuwashika Watu mikono. Baada ya kusema kuwa umefuzu JKT je una hizi SIFA zingine zifuatazo?
Naomba jibu Mkuu kwani nina UHAKIKA mpaka umesema hawajakuchukua basi hizo SIFA 11 hapo HUNA zaidi tu ya kufungua, kuosha na kufunga bunduki yako kama ulivyofunzwa huko JKT ulikopita. Kuna FANI zingine zina MIIKO yake na nani aliyekuambia kukaa karibia na Mahakama ndiyo kujua Sheria?
- Are you Intelligent by nature?
- Do you have the 6th Sense out of the normal five?
- Are you Pro - Active?
- Are you Knowledgeable?
- Are you typically inquisitive person?
- Are you Versatile?
- Do you have the high level of perseverance?
- Can you maneuver?
- Can you persuade and convince?
- Can you live up to the principle of Speed and Precision?
- Can you listen, analyze, assess and decide?