Natafuta kazi ya usalama wa Taifa

Natafuta kazi ya usalama wa Taifa

ngoza niende wilayani nikaulizie maana hata mi naitakA
 
Wacha We!
Watu wanajua hzo kazi zinapatikana kama ubuyu, mm nna age ya 22 but jkt tupu nmekosa nafasi na cfa zote ninazo, na najua sababu cna wa kunishika mkono,sembuse y yy aende TISS kama anaenda Slipway kupunga upepo
 
Watu wanajua hzo kazi zinapatikana kama ubuyu, mm nna age ya 22 but jkt tupu nmekosa nafasi na cfa zote ninazo, na najua sababu cna wa kunishika mkono,sembuse y yy aende TISS kama anaenda Slipway kupunga upepo

Kijana kufanya Kozi ya JKT siyo Kigezo cha kuwa Qualified kwa Kazi ya Intelligence na sidhani kama kweli hiyo Idara yenu sijui TISS inaajiri kwa kuwashika Watu mikono. Baada ya kusema kuwa umefuzu JKT je una hizi SIFA zingine zifuatazo?
  1. Are you Intelligent by nature?
  2. Do you have the 6th Sense out of the normal five?
  3. Are you Pro - Active?
  4. Are you Knowledgeable?
  5. Are you typically inquisitive person?
  6. Are you Versatile?
  7. Do you have the high level of perseverance?
  8. Can you maneuver?
  9. Can you persuade and convince?
  10. Can you live up to the principle of Speed and Precision?
  11. Can you listen, analyze, assess and decide?
Naomba jibu Mkuu kwani nina UHAKIKA mpaka umesema hawajakuchukua basi hizo SIFA 11 hapo HUNA zaidi tu ya kufungua, kuosha na kufunga bunduki yako kama ulivyofunzwa huko JKT ulikopita. Kuna FANI zingine zina MIIKO yake na nani aliyekuambia kukaa karibia na Mahakama ndiyo kujua Sheria?
 
Kijana kufanya Kozi ya JKT siyo Kigezo cha kuwa Qualified kwa Kazi ya Intelligence na sidhani kama kweli hiyo Idara yenu sijui TISS inaajiri kwa kuwashika Watu mikono. Baada ya kusema kuwa umefuzu JKT je una hizi SIFA zingine zifuatazo?
  1. Are you Intelligent by nature?
  2. Do you have the 6th Sense out of the normal five?
  3. Are you Pro - Active?
  4. Are you Knowledgeable?
  5. Are you typically inquisitive person?
  6. Are you Versatile?
  7. Do you have the high level of perseverance?
  8. Can you maneuver?
  9. Can you persuade and convince?
  10. Can you live up to the principle of Speed and Precision?
  11. Can you listen, analyze, assess and decide?
Naomba jibu Mkuu kwani nina UHAKIKA mpaka umesema hawajakuchukua basi hizo SIFA 11 hapo HUNA zaidi tu ya kufungua, kuosha na kufunga bunduki yako kama ulivyofunzwa huko JKT ulikopita. Kuna FANI zingine zina MIIKO yake na nani aliyekuambia kukaa karibia na Mahakama ndiyo kujua Sheria?
Aisee nazani hukunielewa kwenye my previous comment
 
Mpaka hapo umeshakosa tayari wee wapi umeona matangazo au nafasi zikitangazwa maredioni!!ok ila nisikukatishe tamaa endelea kutafuta mkuu![emoji86] [emoji86] [emoji86]
 
naipenda sana nchiyangu, napenda sana kufanya kazi kama usalama wa Taifa katika nchi hii,lakin sijawah ona maombi ya kazi ya hawa usalama wa taifa nifanyeje napenda sana:dance:
Usisumbuke na utaratibu wa kazi hiyo hakuna anaeomba huwa wao ndio wanaotafuta wanaemuona anafaa, kwakifupi ktk mfumo huwezi kujiingiza huwa unaingizwa, ukiona haumo ktk hiyo kazi juwa huna sifa na vigezo
 
Kijana kufanya Kozi ya JKT siyo Kigezo cha kuwa Qualified kwa Kazi ya Intelligence na sidhani kama kweli hiyo Idara yenu sijui TISS inaajiri kwa kuwashika Watu mikono. Baada ya kusema kuwa umefuzu JKT je una hizi SIFA zingine zifuatazo?
  1. Are you Intelligent by nature?
  2. Do you have the 6th Sense out of the normal five?
  3. Are you Pro - Active?
  4. Are you Knowledgeable?
  5. Are you typically inquisitive person?
  6. Are you Versatile?
  7. Do you have the high level of perseverance?
  8. Can you maneuver?
  9. Can you persuade and convince?
  10. Can you live up to the principle of Speed and Precision?
  11. Can you listen, analyze, assess and decide?
Naomba jibu Mkuu kwani nina UHAKIKA mpaka umesema hawajakuchukua basi hizo SIFA 11 hapo HUNA zaidi tu ya kufungua, kuosha na kufunga bunduki yako kama ulivyofunzwa huko JKT ulikopita. Kuna FANI zingine zina MIIKO yake na nani aliyekuambia kukaa karibia na Mahakama ndiyo kujua Sheria?
Waeleze[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Nasikia yeriko huwa anafundisha tuition ya hayo mambo naweza kumpataje?
 
Usisumbuke na utaratibu wa kazi hiyo hakuna anaeomba huwa wao ndio wanaotafuta wanaemuona anafaa, kwakifupi ktk mfumo huwezi kujiingiza huwa unaingizwa, ukiona haumo ktk hiyo kazi juwa huna sifa na vigezo

Umemaliza kila kitu Mkuu na topic closed.
 
Usisumbuke na utaratibu wa kazi hiyo hakuna anaeomba huwa wao ndio wanaotafuta wanaemuona anafaa, kwakifupi ktk mfumo huwezi kujiingiza huwa unaingizwa, ukiona haumo ktk hiyo kazi juwa huna sifa na vigezo
mkuu wao wanakutafuta kwa njia gani?
 
Hebu jieleze hapa nini kimekuvutia na unadhani majukumu ya usalama wa taifa ni yepi. Usisahau kuanza na elimu yako.
Fanya utafiti kabla kuomba usichokijua ukajuta maishani. Nimekutana na watu wengi wapo polisi na majeshi mengine wamekata tamaa.muda umeenda.kutoka hawajui watafanya nini.
you got a point mkuu
 
Kwani huwa wanafanya kazi gani hao?,nami nije niombe?
hujajua job,description ushataka uombe!

mission to capture
mission to kill
Operation to kill
Dealing with all who are declared as an enemy of the state

haya ni baadhi ya majukumu yako.
once a spy always a spy...dont expect to retire!
And be more careful,incase the system reject you...you are done!
 
Back
Top Bottom