Natafuta kazi ya usalama wa Taifa

Natafuta kazi ya usalama wa Taifa

Kwanza Mwanzilishi wa Mada Hii Inaonekana haupo Serious halafu Unafanya Masihara na Kwa Masihara hayo hayo Tayari Huna Sifa za Kuwa Secret Agent Kwani Unaonekana Unaitaka Sana Wakati Haiko Hivyo Kwani Wenyewe Wahusika Wa Kufanya Recruit Wapo na Wanachagua Watu Wao Kulingana na Vigezo Vyao na Hawakuangalii Ukiwa NJEMBA ( Mkubwa Hivyo Ulivyo Sasa ) bali Kipaji cha Mtu wa Espionage Huonekana Mapema Sana Akiwa Mdogo na Haswa Kuazia Primary School. Wewe cha Kufanya Kafie Mbele tu na Kazi Zipo Nyingi! Umejaribu PCCB? Huko Nadhani Kwa Njaa Uliyonayo Panakufaa ila Siyo Sehemu Nyeti Kama TISS. Tokea Uzaliwe Huko UNYARUGUSUNI Kwenu ni Lini Umesikia Kazi za Usalama wa Taifa ZINATANGAZWA? Acha Masihara Kijana / Binti.
 
naipenda sana nchiyangu, napenda sana kufanya kazi kama usalama wa Taifa katika nchi hii,lakin sijawah ona maombi ya kazi ya hawa usalama wa taifa nifanyeje napenda sana:dance:

Kijana, hao watu siku hizi wanajiajiri, na wanaendesha magari mazuri ndani ya miezi mitatu.. Lakina omba usikamatwe coz hawalipi kodi..
kamata fursa twenzetu..
 
safi san kwa kuwa mzalendo wa Taifa ili, ila kazi nzuri ili kulinda usalama a nchi hii ni wewe kushirikiana na vyombo hivyo vya ulinzi na usalama ili kulinda usalama wa raia...haina haja ya kuajiliwa
 
sisi watanzania sote ni usalama wa taifa hivo ndivo mwalimu alitujenga
 
Sijui kama usemayo ni kweli lakini hongera. Labda kwa kipindi jiki cha miaka mitatu labda ni kweli umechomoa. Hongera Sana na Kila la kheri katika kulitumikia Taifa
 
naipenda sana nchiyangu, napenda sana kufanya kazi kama usalama wa Taifa katika nchi hii,lakin sijawah ona maombi ya kazi ya hawa usalama wa taifa nifanyeje napenda sana:dance:
Unaipenda nchi yako kwa kuchagua kazi?
 
usalama wako mwenyewe unauweza hadi utake wa taifa?
 
Kwanza Mwanzilishi wa Mada Hii Inaonekana haupo Serious halafu Unafanya Masihara na Kwa Masihara hayo hayo Tayari Huna Sifa za Kuwa Secret Agent Kwani Unaonekana Unaitaka Sana Wakati Haiko Hivyo Kwani Wenyewe Wahusika Wa Kufanya Recruit Wapo na Wanachagua Watu Wao Kulingana na Vigezo Vyao na Hawakuangalii Ukiwa NJEMBA ( Mkubwa Hivyo Ulivyo Sasa ) bali Kipaji cha Mtu wa Espionage Huonekana Mapema Sana Akiwa Mdogo na Haswa Kuazia Primary School. Wewe cha Kufanya Kafie Mbele tu na Kazi Zipo Nyingi! Umejaribu PCCB? Huko Nadhani Kwa Njaa Uliyonayo Panakufaa ila Siyo Sehemu Nyeti Kama TISS. Tokea Uzaliwe Huko UNYARUGUSUNI Kwenu ni Lini Umesikia Kazi za Usalama wa Taifa ZINATANGAZWA? Acha Masihara Kijana / Binti.
Mbona umeweka kijana/binti?si ungeweka tuu binti
 
Back
Top Bottom