Natafuta kazi ya usalama wa Taifa

Natafuta kazi ya usalama wa Taifa

naipenda sana nchiyangu, napenda sana kufanya kazi kama usalama wa Taifa katika nchi hii,lakin sijawah ona maombi ya kazi ya hawa usalama wa taifa nifanyeje napenda sana:dance:
Kama unaipenda nchi kuwa police jamii....
 
Hebu jieleze hapa nini kimekuvutia na unadhani majukumu ya usalama wa taifa ni yepi. Usisahau kuanza na elimu yako.
Fanya utafiti kabla kuomba usichokijua ukajuta maishani. Nimekutana na watu wengi wapo polisi na majeshi mengine wamekata tamaa.muda umeenda.kutoka hawajui watafanya nini.
Hakuna kitu kibaya kama kukosea kuchagua kabla ya kuwa polis/mjeshi au TISS jiulize kwanin unataka kufanya hizo kazi . kazi kama ya TISS huongozwa na kanuni ya uzalendo kwanza kupenda nchi yako kuliko maslahi yako binafsi tunasema anasa za uraia . ukipenda zaid anasa hizo ni lazima ujute kwa sababu roho ya uzalendo huna na kule hakuna dili dili za ovyo maybe ufanye uhuni tu kusaliti kambi


Popote mlipo wapiganaji wa kweli wa Taifa hili nasema nawaheshimu sana popote mlipo . wazee wa TISS, POLIS, JESHI Taifa hili haliwezi kuwa salama bila nyie , matusi na mengine ni vichaa tu ambao hawajui kutafakari vyema . uzalendo wenu na mnaishi kwa kufuata amri kwahiyo mim nasema mungu Awabariki sana makamanda wa ukweli
 
naipenda sana nchiyangu, napenda sana kufanya kazi kama usalama wa Taifa katika nchi hii,lakin sijawah ona maombi ya kazi ya hawa usalama wa taifa nifanyeje napenda sana:dance:
Mku sijawahi kusikia hata fild zao hata wanavyopatikana. Vipi uliwahi kufika ktk lile daraja la kuukosa utume wa utumishi wa Bwana
 
Back
Top Bottom