King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 736
- 2,673
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27,nimekuwa nikijaribu kutafuta kazi ya udereva kwa muda mrefu bila mafanikio mpaka nafirikia kwenda kusoma tena operator ili kuongeza wigo wangu katika soko la ajira.
Nimejaribu kuandika barua tofauti katika ofisi tofauti kuomba nafasi ya kujitolea lakini sijawahi kuona simu wala txt,waswahili wanasema bila lift haufiki.
Nina nakalaa muhimu za kitaaluma na vinginevyo.
Nina uwezo wa kufanya kazi katika hali ya uaminifu wa hali ya juu pasipo kusimamiwa.
Nina uzoefu wa kutosha usiopungua miaka 7+ barabarani.
Kwa yeyote mwenye roho ya ki-kristo na angependa kunisaidia napatikana kwa namba hii
Wtsp/Call/Txt +255(0) 654 486 097.
Nimejaribu kuandika barua tofauti katika ofisi tofauti kuomba nafasi ya kujitolea lakini sijawahi kuona simu wala txt,waswahili wanasema bila lift haufiki.
Nina nakalaa muhimu za kitaaluma na vinginevyo.
Nina uwezo wa kufanya kazi katika hali ya uaminifu wa hali ya juu pasipo kusimamiwa.
Nina uzoefu wa kutosha usiopungua miaka 7+ barabarani.
Kwa yeyote mwenye roho ya ki-kristo na angependa kunisaidia napatikana kwa namba hii
Wtsp/Call/Txt +255(0) 654 486 097.