Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
- #101
kwani mke hujapata tu mdogo wangu?
yaani warembo wote hawa humu hujampata wa kumkwapua?.........
huna MTAMA? kwi kwi kwiiiiii
kwani mke hujapata tu mdogo wangu?
ha haaa, hiyo tuwaachie wachaga mtani.....Ndiyo biashara ya mujini siku hizi. Asalimiwi mtu kwa sababu ya umri wake.
yaani na wewe umeingia chaka kwa hili licheti la kuchongwa?Kwi kwi kwi kwi lol!!! 🙂🙂 Inabidi mpenda shikamoo Fixed Point akupe shikamoo nyingi sana 🙂🙂
yaani na wewe umeingia chaka kwa hili licheti la kuchongwa?
rafiki usinitafute......Mhhhh! Mbona kinafanana na cha kwako au nacho ni cha kuchongwa? LoL!!!! 🙂🙂
MwanajamiiOne huyu wa juzi aliyekuwa anapelekwa chekechea na hii Datsun?ha haaa, hiyo tuwaachie wachaga mtani.....
sisi tuendeleze mila na desturi...
umeiona benchmark ya MwanajamiiOne?
jilinganishe hapo kama hufiki angusha tu hiyo salamu.... kama unafika basi itabidi sasa usalimishe cheti
ha haaa, mtani ndo umekuja kutuonyesha gari la babu yako?
Kwi kwi kwi kwi lol!!! 🙂🙂 Inabidi mpenda shikamoo Fixed Point akupe shikamoo nyingi sana 🙂🙂
rafiki usinitafute......
wewe tumeshaishiana, umejisalimisha..... waache na wenzio wajisalimishe kwa amani.... mbona unawatetea?
Hivi umesahau kama mie ni SHEMEJIO.....
ha haaa, shem hii naikumbuka saanaaaa.......Hivi umesahau kama mie ni SHEMEJIO.....
Au umesahau hii:
https://www.jamiiforums.com/mahusia...kini-kikaja-kisirani-kingine%85%85%85%85.html
yaani na wewe umeingia chaka kwa hili licheti la kuchongwa?
tena nitashukuru sana ukikaa kimya:tape::tape::tape: Kwi kwi kwi kwi
ha haaa, siku hizi kulivyo na rushwa.......Certificate imekuwa certified kabisa na Paw.
mdogo wangu.... mimi sijakataa kuwa EMT ni kaka yako..... hilo nalikubali kabisaaaaaa, tena umefanya vizuri kumwamkia, ila mimi ninachokataa ni kuwa kaka yanguKaka EMT shikamoo........................ Da Mkubwa Fixed Point, huyu ni Kaka aisee.
bora umegundua kuwa kuna fotoshop mtani.....Ushakuwa kama wanasiasa ambao wanabisha kitu ukiwaletea picha kudhibitisha wanadai ni photoshop.
Certificate yangu ni genuine, tena imekuwa certified na third party kuwa ni ya ukweli kabisa.
babu longo longo ya nini?
nimiza vigezo na masharti, ujiweke huru, lol!
by the way unajua wafungwa huwa wanaruhusiwa kuwa na wageni? ha haaaaa:tape:
ha haaa, babu leo una mimi, lol!Ndiyo matatizo ya wanafunzi kupewa 5min break...
Badala ya kupumzika ili akili ilirudi kwenye usawa, anaanza kurumbana na wakubwa zake....
Hebu mwambie teacher gfsonwin akupe hiyo certificate kama bado una hamu ya kuichungulia...
Kaaaaaaahhhh....wengien bila kufinywa hamuelewi??
Babu DC!!