Natafuta kaka/dada

Natafuta kaka/dada

Du mi nshapewa category tayari naona...haya ngoja njieke pembeni!

dada Fixed Point natafuta mke...
kwani mke hujapata tu mdogo wangu?
yaani warembo wote hawa humu hujampata wa kumkwapua?.........
huna MTAMA? kwi kwi kwiiiiii
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndiyo biashara ya mujini siku hizi. Asalimiwi mtu kwa sababu ya umri wake.
ha haaa, hiyo tuwaachie wachaga mtani.....
sisi tuendeleze mila na desturi...
umeiona benchmark ya MwanajamiiOne?
jilinganishe hapo kama hufiki angusha tu hiyo salamu.... kama unafika basi itabidi sasa usalimishe cheti
 
Last edited by a moderator:
Kwi kwi kwi kwi lol!!! 🙂🙂 Inabidi mpenda shikamoo Fixed Point akupe shikamoo nyingi sana 🙂🙂

Nimeattach certificate yangu hapo chini na imedhibitishwa na Paw kuwa siyo feki.


attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Mhhhh! Mbona kinafanana na cha kwako au nacho ni cha kuchongwa? LoL!!!! 🙂🙂
rafiki usinitafute......
wewe tumeshaishiana, umejisalimisha..... waache na wenzio wajisalimishe kwa amani.... mbona unawatetea?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
ha haaa, hiyo tuwaachie wachaga mtani.....
sisi tuendeleze mila na desturi...
umeiona benchmark ya MwanajamiiOne?
jilinganishe hapo kama hufiki angusha tu hiyo salamu.... kama unafika basi itabidi sasa usalimishe cheti
MwanajamiiOne huyu wa juzi aliyekuwa anapelekwa chekechea na hii Datsun?



images
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
yaani na wewe umeingia chaka kwa hili licheti la kuchongwa?

Ushakuwa kama wanasiasa ambao wanabisha kitu ukiwaletea picha kudhibitisha wanadai ni photoshop.

Certificate yangu ni genuine, tena imekuwa certified na third party kuwa ni ya ukweli kabisa.
 
Ushakuwa kama wanasiasa ambao wanabisha kitu ukiwaletea picha kudhibitisha wanadai ni photoshop.

Certificate yangu ni genuine, tena imekuwa certified na third party kuwa ni ya ukweli kabisa.
bora umegundua kuwa kuna fotoshop mtani.....
kuna cha kuendelea hapo? si tumeshamaliza?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
babu longo longo ya nini?
nimiza vigezo na masharti, ujiweke huru, lol!
by the way unajua wafungwa huwa wanaruhusiwa kuwa na wageni? ha haaaaa:tape:


Ndiyo matatizo ya wanafunzi kupewa 5min break...

Badala ya kupumzika ili akili ilirudi kwenye usawa, anaanza kurumbana na wakubwa zake....

Hebu mwambie teacher gfsonwin akupe hiyo certificate kama bado una hamu ya kuichungulia...

Kaaaaaaahhhh....wengien bila kufinywa hamuelewi??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo matatizo ya wanafunzi kupewa 5min break...

Badala ya kupumzika ili akili ilirudi kwenye usawa, anaanza kurumbana na wakubwa zake....

Hebu mwambie teacher gfsonwin akupe hiyo certificate kama bado una hamu ya kuichungulia...

Kaaaaaaahhhh....wengien bila kufinywa hamuelewi??

Babu DC!!
ha haaa, babu leo una mimi, lol!
ila naweza kukusetiri usije umbuka kwa wajukuu watiifu akina MwanajamiiOne na FirstLady1....
wewe tutamalizana na mimi kimya kimya
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom