MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Ndiyo matatizo ya wanafunzi kupewa 5min break...
Badala ya kupumzika ili akili ilirudi kwenye usawa, anaanza kurumbana na wakubwa zake....
Hebu mwambie teacher gfsonwin akupe hiyo certificate kama bado una hamu ya kuichungulia...
Kaaaaaaahhhh....wengien bila kufinywa hamuelewi??
Babu DC!!
Hahhhahaha Babu leo nimegundua kuwa Da Mkubwa Fixed Point mkorofi khaa.........na pia nimegundua wengine huwa mnatuonea angekuwa MwanajamiiOne hapa angeshafinywa zamani.......................
Last edited by a moderator: