ha haaa... mimi na wewe hakuna kuombana kabisaaaa...... ilishajulikana na ulishakuwa mdogo wangu kitambooooo..... ndo maana upo kwenye group la wadogo zangu.....Hivi wewe unataka cheti cha nini ili hali ulishajithibitishia kwa macho? Hebu niamkie huko! We unapima udada na ukaka kwa michango ya watu? Utajapotea maboya mpaka ushangae! Ila hivi mie na wewe kuna kuombana udada?
...au ni mshirika wako unataka awe anakumegea siri?
Hhahah RR wewe sina shaka nawe kabisa shkang kwako ni halali yako................MwanajamiiOne hujambo? Ok...nitwange shikamoo....
Then niache na Fixed Point...ni mdogo wangu kabisa....huna haja ya vigezo wala masharti...!
Hapo sasa Da Mkubwa Fixed Point ntake radhi, yaani kuwa am below 30?? Yaani hapana hapo ntake radhi Da Mkubwa hata Da Mkubwa King'asti, Kaunga, Mamndenyi, Nyamayao watakushangaainawezekana kabisa MwanajamiiOne akawa mdogo wako, sina tatizo kabisa na hilo.....
kwanza hata kama una miaka 30, nina uhakika bado atakuwa mdogo wako.....
ila mimi??????? yaani utakuwa na safari ndefu sana.......
wewe ulishakuwa mdogo wangu kitambo... hilo halipingiki mbona.... ila shikamoo zako zinatoka kwa manati sana! sijui ndo utoto wa siku hizi?....ME naomba niwe mdogo wako Fixed Point...afu una mbwembwe @fp ime-expire or?!
teh teh tehhhhhh, sababu umeitwa daddy? lol!
mtani wewe hata sijakuweka maana najua utatania tu......
mkubali nafasi zenu jamani..... siyo crime kuwa dogo
ha haaa, umeliwaHewalaa mtani...kuna watu hapa nataka nijue khabari zao...sasa ukimpa huyo hicho kibarua ni kama umenipa mie vile
ha haaaa.... hao ndo dada wakubwa wako?Hapo sasa Da Mkubwa Fixed Point ntake radhi, yaani kuwa am below 30?? Yaani hapana hapo ntake radhi Da Mkubwa hata Da Mkubwa King'asti, Kaunga, Mamndenyi, Nyamayao watakushangaa
umenena sawa kabisa mtani wanguHeheh mtani hapo nampigia debe binti yangu...mie nipo zangu kijijini natumia kiinua mgongo changu...wewe kwangu ni dada mtani, nami kwako ni kaka mtani
Mwenzio sijacheka tangu asubuhi! Umenichekesha hapo kwenye "urefu sio hoja"! Khaaaaaaa!ha haaa... mimi na wewe hakuna kuombana kabisaaaa...... ilishajulikana na ulishakuwa mdogo wangu kitambooooo..... ndo maana upo kwenye group la wadogo zangu.....
mimi nakuambia kila siku urefu si hoja...... namba ndo inayoangaliwa..... imekula kwako, lol!
Basi sawa, Shkamo dada Fixed Point......wewe ulishakuwa mdogo wangu kitambo... hilo halipingiki mbona.... ila shikamoo zako zinatoka kwa manati sana! sijui ndo utoto wa siku hizi?....
hilo jina bana nimerudia jina la ujana wangu, the originale
Evidence please.....Mm kaka yako
marahabaaa mdogo wangu hujambo?Basi sawa, Shkamo dada Fixed Point......
ha haaa, umeliwa
ha haaa, ndo maana yake......Mwenzio sijacheka tangu asubuhi! Umenichekesha hapo kwenye "urefu sio hoja"! Khaaaaaaa!