Makubwa basi, shikamoo shemeji Nicas Mtei, ila si unajua taratibu za kwetu hazikufuatwa hasa ile ya mwowaji kupewa shamba alilime kuthibitisha kuwa uwezo wa kumlisha dada yetu anao. Nilipofika pale kwetu Luhagala sikuona ploti aliyolima bwana Nicas Mtei, au amemchukua makunja?
mdogo wangu utiifu mwingine mgumu ujue!Da Mkubwa, ukijua kupokea jua na kutoa pia, its not fair kupokea tu.................... please kuwa mtiifu.
taratibu zilipofanyika wee ulikuwa busy unamfukuzia Preta....Makubwa basi, shikamoo shemeji Nicas Mtei, ila si unajua taratibu za kwetu hazikufuatwa hasa ile ya mwowaji kupewa shamba alilime kuthibitisha kuwa uwezo wa kumlisha dada yetu anao. Nilipofika pale kwetu Luhagala sikuona ploti aliyolima bwana Nicas Mtei, au amemchukua makunja?
Nakupendaje mdogo wangu. Fixed Point karibu kwenye udada huu jamani.
najua mdogo wangu...... nakukumbuka pia, always my dear.....Nisamehe bure my dada...nimekuwa na buzy km mashine ya kusaga acha...but you are in my heart and soul...I love u sis. Saana tuu
Hivi mkuu bado unaamini ktk vyeti. Bongo vitu vingi fake naogopa kusema kua itakua ngumu kupata vyeti halisi au kuujua umri halisi labda umpeleke kwa wataalamu wakampime ili kujua umri . Lakini angalia moyoni mwako ukiona unawiwa kumuamkia shikamoo basi fanya hivyo atakua anastahili. Umri wa MwanajamiiOne naamini upo chini kama alivyotaja ndivyo.Kama kweeeli kweeeli Fixed Point una miamka juu ya hiyo ya MwanajamiiOne basi SHKAMOO DADA yangu kipenzi nikupendae saaana. Ila as u said vigezo na masharti kuzingatiwaa. CHETI TAFADHALI
KOKUTONA so na mie niidai shkamoo yangu au? unanihifadhia mamii?
Hahahah Da Mkubwa Ablessed bahati mbaya mie sikuwa raised as a lady, si wanasemaga ladies are not supposed to disclose their real age? Mie I have just disclosed it..................... yes its 38 yrs ofcoz I don't look my age but that's me.Hivi mkuu bado unaamini ktk vyeti. Bongo vitu vingi fake naogopa kusema kua itakua ngumu kupata vyeti halisi au kuujua umri halisi labda umpeleke kwa wataalamu wakampime ili kujua umri . Lakini angalia moyoni mwako ukiona unawiwa kumuamkia shikamoo basi fanya hivyo atakua anastahili. Umri wa MwanajamiiOne naamini upo chini kama alivyotaja ndivyo.
Da Mdogo KOKUTONA, usijali vimezingatiwa. Now Fixed Point, please your certificate to show that you deserve that 'shikamoo' from a near 40 yrs lady....................... I wont rest .....in peace until you have shown me ................I am waitingShkamoo dada MwanajamiiOne....Ila km vigezo na masharti vimezingatiwa.
dada anaulizwa vyeti tangu lini?
unaleta formula ya tit for tat hapa?
marahaba mdogo wangu kipenzi, hujambo?
mambo mengine watu wazima kama sisi tunamaliziana kimya kimya mdogo wangu Mwanajamiione, sawa?Da Mdogo KOKUTONA, usijali vimezingatiwa. Now Fixed Point, please your certificate to show that you deserve that 'shikamoo' from a near 40 yrs lady....................... I wont rest .....in peace until you have shown me ................I am waiting
ha haa, usipokuwa mkali madogo wanaweza kukuumbua, lol!Ha ha haaaa dada umenichekesha.....izo terms of condition za upande mmoja dah.....
Dada mkali ww.. umenkumbusha dada yetu alikuwaga mkali, tukileta za kuleta alikwa anatufinyaje mashavu.
Mie sijambo dada yangu wa ukweli.
Mpe shikamoo yake mkuu naona ulitoka nadhani ulikua unatafakari namna ya kuianza. Nadhani sasa ndio wakati muafaka mpe haki yake mkuu.
taratibu zilipofanyika wee ulikuwa busy unamfukuzia Preta....
walitimiza kila kitu
agreed!Kua binamu wangu!
Waonaje?
wakukemelela mtaa wa saba, lol!Unanichanganya dada, umekula maduru nini? Ina maana hata kaka Ngalikihinja na Maboso nao walikuwa busy?
Kabisa na wewe unaamini Nicas Mtei ni muowaji?
Umenifurahisha sana mdogo wangu MwanajamiiOne si vibaya kuwa muwazi hata mimi nimependa lol. Tena ni nzuri kusema ukweli kila wakati maana inaondoa kazi ya kuweka kumbu kumbu kama mtu muongo. Si unajuaga mtu akidanganya ni lazima awe expert ili asichanganye habari. Lkn nikutoe mashaka kuhusu Fixed Point wewe mpe tu shikamoo yake anastahili ondoa mashakaHahahah Da Mkubwa Ablessed bahati mbaya mie sikuwa raised as a lady, si wanasemaga ladies are not supposed to disclose their real age? Mie I have just disclosed it..................... yes its 38 yrs ofcoz I don't look my age but that's me.
Da Mdogo KOKUTONA, usijali vimezingatiwa. Now Fixed Point, please your certificate to show that you deserve that 'shikamoo' from a near 40 yrs lady....................... I wont rest .....in peace until you have shown me ................I am waiting
huo mbona nilishajiunga zamani mdogo wangu!
nashangaa tu siku hizi kimyaaaaaaaaaaaaaa........................ lol!
mwambie na mdogo wangu mwingine kipenzi Arabela ana wajibu wa kumsalimia dada mkubwa.... nasubiri salamu zake nje ya cc