Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,278
- 17,983
Mkuu Sibonike nasikia nyongo ya Mamba ni sumu moja kali sana,yaani inasemekana hata ukiimwaga kwenye mto basi watu au viumbe vinavyotumia maji hayo lazima vidhurike.
Ndiyo maana yake mkuu. Huyo kachoka kuishi. Nyongo ya mamba itarahisisha kazi.