Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,870
mleta mada sikuelewagi kabisa!
Kuna super market wanauza hizo hirizi za simba,hirizi za tembo,hirizi za fisi nenda utapata mkuuwakuu naombeni msaada wa kupata hirizi ya simba hili niimeze na nipate nguvu kama za simba na uwezo wa kumpambana na wanaume 40.
kwa sababu kuna wajamaa fulani wamenizingua hapa mtaani sasa nataka niwamezee hirizi ya simba hili nikawakamue wote.
kama kuna anayefahamu jinsi ya kuipata anijuze haraka