Natafuta deal ya pesa nyingi

Natafuta deal ya pesa nyingi

Kabebe Unga Per trip unakula 10,000,000 yaani weak moja unatengeneza 10 milioni ukipeleka mara Kumi ushapata kamsingi. Duu Ila fikiria mara mbili risk nazo nyingi.

1. Kupasukia tumboni
2. Kukamatwa na kufungwa
3. Kuajiribia CV yako

Kila la heri kijana.
Niunganishe na hawa watu mkuu
 
Asante sana mkuu tatizo sina sehemu ya kuanzia
unapoishi hakuna raia...je hakuna centre yoyote iliyochangamka..kujichanganya sio lazima utafute mabosi,wasomi au wafanyabiashara wakubwa..mkuu hata kwenda kwenye kahawa,draft,viwanja vya michezo ni mojawapo ya kugain network mpya itakyoweza kukupa hatua nyingine mbele
 
Kwahiyo unamshauri ayaingize sokoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijasema hivyo, mimi nimesema kama hana faida nayo yanini kuyatunza wakati yanaweza mlipa. Ni sawa na kufuga mbuzi asiyezaa, wanini sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
unapoishi hakuna raia...je hakuna centre yoyote iliyochangamka..kujichanganya sio lazima utafute mabosi,wasomi au wafanyabiashara wakubwa..mkuu hata kwenda kwenye kahawa,draft,viwanja vya michezo ni mojawapo ya kugain network mpya itakyoweza kukupa hatua nyingine mbele

Wapo lakini mada hizo wahaongelei
 
Back
Top Bottom