Natafuta deal ya pesa nyingi

Natafuta deal ya pesa nyingi

Kabebe Unga Per trip unakula 10,000,000 yaani weak moja unatengeneza 10 milioni ukipeleka mara Kumi ushapata kamsingi. Duu Ila fikiria mara mbili risk nazo nyingi.

1. Kupasukia tumboni
2. Kukamatwa na kufungwa
3. Kuajiribia CV yako

Kila la heri kijana.
 
Kabebe Unga Per trip unakula 10,000,000 yaani weak moja unatengeneza 10 milioni ukipeleka mara Kumi ushapata kamsingi. Duu Ila fikiria mara mbili risk nazo nyingi.

1. Kupasukia tumboni
2. Kukamatwa na kufungwa
3. Kuajiribia CV yako

Kila la heri kijana.

Naitapaje hii mkuu na asante kwa ushauri pia
 
Naitapaje hii mkuu na asante kwa ushauri pia
Ww mwanaume mpambanaji akigusiwa kitu tu anamaliza mwenyewe kijana Tafuta connection mbona hao Jamaa wanajulikana hapo Dar wapi Sinza wapi Kinondoni Ila uwe serious Tu na unachotaka.

Ukishindwa hiyo Tafuta ndagu ya utajiri Toa kafara MTU kama huna MTU jitoe kafara mwenyewe baada ya MDA Fulani unapotea maishani.
 
Watanzania sisi tunalaumu tu na kukosoa badala ya kushauri... Mkuu kwa uelewa wangu ..katika kila jambo kuna cha kujifunza unaweza ukapata dili haramu na ikakupelekea ukajifunza na kuachana na dili hizo haramu .. wasikutishe tishe maana wasiwasi ni ugonjwa mkubwa sana kuliko hayo maukimwi.. fanya maamuzi mkuu
 
maisha ya chuo pindi uko field unaweza shika pesa nyingi sana, maliza chuo ujionee uhalisia sasa!
Kila la heri Luck Good
Usemacho ni kweli mm mwaka wa mwisho chuoni nilikuwa naingiza 800,000 mpaka milioni Kwa mwezi hanasa kwenda mbele totoz zote za chuo zilikoma baada ya kumaliza sasa shida kama zote ule upepo sijui ulienda wapi Maisha yamekuwa siyo kabisa.
 
maisha ya chuo pindi uko field unaweza shika pesa nyingi sana, maliza chuo ujionee uhalisia sasa!
Kila la heri Luck Good
Usemacho ni kweli mm mwaka wa mwisho chuoni nilikuwa naingiza 800,000 mpaka milioni Kwa mwezi hanasa kwenda mbele totoz zote za chuo zilikoma baada ya kumaliza sasa shida kama zote ule upepo sijui ulienda wapi Maisha yamekuwa siyo kabisa.
 
Back
Top Bottom