Natafuta deal ya pesa nyingi

Natafuta deal ya pesa nyingi

Hapa JF watu mna mizaha kweli,
sasa jamaa kasema anataka mchongo wowote halali au halamu,
cha ajabu watu mnamwambia eti kuna jela, kwani mpaka anasema anataka mchongo halamu hajui kuwa kuna jela? mbona swala la jela ameshaligusia?
au mnadhani yeye atakuwa wa kwanza kwenda huko jela?
si bora yeye ataenda jela kwa kosa alilofanya?
si kuna watu wamepewa kesi za uongo na wanaozea jela?
kwanini yeye asijaribu bahati yake?

mimi nafanya shughuli ambazo zinanipatia hela ya kula na kulipa kodi, lakini muda wote nafikiria sana nianzie wapi ili nipate mchongo wa hela ndefu.
kuna watu wanaona kuua kama inshu kubwa sana, lakini watu tunatofautiana sana, mimi sioni kama kuua ni jambo kubwa kiasi hicho.
isitoshe wakuu umasikini ni mbaya sana, inabidi mtu uupinge kwa nguvu zote, ikiwezekana cheza hata michezo ya kifo.
maisha bila hela ni bure.
mkuu kama ukifanikiwa kupata mchongo naomba unishirikishe. achana na wanaotanguliza mizaha.
 
Ni ujambazi utakufaa..unga mpaka uwe na connection na watu hao na kusalitiana kwingi...fanya mambo kisayansi Kama KWENYE movie za mambele..andaa gari,silaha


Sehemu zenye hela
Petrol station
Maduka ya kufanya miamala nmb,crdb wakala,mpesa n.k
Bar and night club


Note:hizi deal NI michongo ya pesa ya kawaida million nne,tatu it depends



Ila Kama unataka deal kubwa za million 100 na kuendelea basi itakuwa ngumu maana watu siku hizi hawatembei Sana na cash.....





Deals NYINGINE lazima uwe na connection na wahusika maana hata ukipewa Sasa hivi mzigo wa pembe za ndovu huwezi kujua uanzie wapi kuingiza pesa utamuuzia nani?kwa hiyo kama kweli uko tayari kuzama chaka la national Park basi andaa Kwanza mazingira na wadosi wa kazi hizo na me sijui wanapatikana wapi..

Note usiwe na huruma Kama silaha unayo basi ukiingia porini ukakutana na wale games Askari basi usiulize unaua ua wote kmninazao..
 
Ni ujambazi utakufaa..unga mpaka uwe na connection na watu hao na kusalitiana kwingi...fanya mambo kisayansi Kama KWENYE movie za mambele..andaa gari,silaha


Sehemu zenye hela
Petrol station
Maduka ya kufanya miamala nmb,crdb wakala,mpesa n.k
Bar and night club


Note:hizi deal NI michongo ya pesa ya kawaida million nne,tatu it depends



Ila Kama unataka deal kubwa za million 100 na kuendelea basi itakuwa ngumu maana watu siku hizi hawatembei Sana na cash.....





Deals NYINGINE lazima uwe na connection na wahusika maana hata ukipewa Sasa hivi mzigo wa pembe za ndovu huwezi kujua uanzie wapi kuingiza pesa utamuuzia nani?kwa hiyo kama kweli uko tayari kuzama chaka la national Park basi andaa Kwanza mazingira na wadosi wa kazi hizo na me sijui wanapatikana wapi..

Note usiwe na huruma Kama silaha unayo basi ukiingia porini ukakutana na wale games Askari basi usiulize unaua ua wote kmninazao..
duh....😂😂
 
Pesa haramu itaambatana na maisha haramu, maisha ya mikosi, magonjwa na hata changamoto zisizotatulika kwa pesa utakazokuwa umechuma.

Na njia haramu unazozizungumzia ndio hizi hizi tunazozisikia huku kwenye Vyombo vya habari pale Watoto wanaua Wazazi wao, Ndugu anamuua Mwenzake...ni kujidanganya kama unafikiri utaishi kwa amani baada ya kufanya hayo.

Njia pekee itakayokuacha na amani ni labda upate changamoto ya akili (kichaa) ambapo hutojali tena Mtu au kitu.
 
Kwanini usiingie kwenye kilimo cha matikiti.Ukipiga hekar zako hata mbili unakuwa milionea kwa miezi mitatu tu.

tikiti moja ukiuza 3k tufanye umepata matikiti 2k
ukipga 2000×3000=6000000 ( milion 6 )

hapo ukitoa gharama za kukod shamba na madawa ni kama 1m tu utajikuta una baki na 5m

Haya ukilima misimu miwili unajikuta una 10m

nb.Hili ni dili haramu na halali ko jitose kamanda huku 😂😂.
 
My bruh ukitulia pitia hii kutoka kwenye BIBLE


MHUBIRI 10:19
Karamu hufanywa kwa ajiri ya kicheko (furaha) , nao mvinyo hufurahisha maisha , lakini FEDHA ni jawabu la mambo yote......




My brother tafuta pesa wasikutishe maisha yanaanza baada ya kuwa na pesa ila usiue mkuu katika utafutaji wako..
 
duh....[emoji23][emoji23]
Aangalie KWENYE movie za ughaibuni huko atajifunza michezo hiyo ya kikatili..watu mpaka bank wanaiba ila wanakuwa NI team yenye wataalam ma IT Wa kuchezea CCTV camera yaani wakali wote waliobobea kila idara mpaka ramani ya jengo la bank wanakuwa nayo wapi watatokea wakishachukua mzigo n.k




Sasa huyu madeal hayo hayawezi ye NI jeshi la mtu mmoja yafaa Kwanza awe mtumiaji wa madawa yatakayompa uchizi asiwe na huruma..avute bangi ikichanganywa na bandadu au valium vile vidonge akivuta mwezi tu anakuwa Kama panya road akivuta mwaka ndo anakuwa mkatili sugu wa kuiba mpaka madini anayoyasemea ila ndo silaha muhimu bastola awe nayo maana maboss nao wako Makini 24 hrs
 
Najua kuna kusalitiana, kuua au kuuliwa, kukamatwa na kupewa adhabu kali au kuhukumiwa kifungo cha maisha, but am ready with all that maana nimeckoka maisha haya.
Ili uwe salama nakushauri fanya mpango nenda Muscat Oman, elezea hili deal lako utapata 'mkataba wenye fedha za kutosha' tena kwa malipo ya dola za kimarekani.
 
hii ni barua ya kipemba kwa wahaya. Mleta mada usitegemee kupata ushauri wa maana hapa zaidi ya kejeli na kebehi.jf kwa sasa ina watu wa hovyo wengi kuliko members wenyewe😅😅😅.

madili kama hayo hayapatikani hadharani ni ishu za kimya kimya kama wazee wa kaunda suti.Tengeneza network na watu waliofanikiwa waonyeshe utayari wako katika maisha. Lazima utapata kitu cha kujifunza.
 
Usemacho ni kweli mm mwaka wa mwisho chuoni nilikuwa naingiza 800,000 mpaka milioni Kwa mwezi hanasa kwenda mbele totoz zote za chuo zilikoma baada ya kumaliza sasa shida kama zote ule upepo sijui ulienda wapi Maisha yamekuwa siyo kabisa.
Laki 8 ni wastani wa 25000 kwa siku kaa kwa kutulia ,wewe bado hujawai shika pesa.
Hizo wauza michicha na alkasusu wanashika sana
 
Habari za muda huu wana jf.
Mimi ni kijana mtanzania, jinsia yangu ni mwanaume, elimu yangu ni kidato cha sita, umri wangu ni miaka 27.

Nisingependa kuwachosha sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika,

Natafuta kazi au deal yeyote halali au haramu kigezo iwe na kipato au ujira mkubwa, hii nadhani inetokana na kuwahi kumiliki pesa nyingi na zikapotea bila kukamilisha mipango na malengo yangu.

Niliwahi kumiliki pesa nyingi kipindi nipo na miaka 21 hadi 24 na pesa hizo nilitafuta mwenyewe sio kwa kurithi, kudhurumu au kuiba.
Najua wengi mtashangaa na mtanishauri nitumie njia ile ile kupata hizo pesa lakini kwa sasa naona itachikua miaka mingi sana au isiwezekane kabisa.

Njia iliyotumika kupata fedha nyingi,

Niliwahi kusoma chuo cha madini hivyo nina uelewa kiasi kuhusiana na madini especially gold, Wakati nipo chuo mwaka wa pili tulipangiwa field, wakati nipo field nikabahatika kupata dhahabu kiasi ambayo niliiuza na kupata fedha nyingi kwangu, ikapelekea chuo sikumaliza ndio maana nasema nina elimu ya kidato cha sita.

Lakini pia njia hii ilikuwa kama bahati kwa upatikanaji wa fedha hizo ndio maana siwezi kuitumia tena kutafuta pesa nyingi.

Mimi binasfi kutokana na uelewa wangu na kutembea kwangu nimegundua, kazi nyingi haramu au deal nyingi haramu zinaingiza pesa nyingi sana. Ukizingatia pia zina risk kubwa pia ni kama third law of motion ya sir Isack Newton (for every action there is equal and opposite reaction)

Lakini kutokana na kutembea kwangu, akili yangu, skills zangu na efforts zangu nimejiandaa kiakili na kisaikolojia kutafuta deal yeyote ya kuingiza pesa nyingi sana kuanzia sasa.

Najua kuna kusalitiana, kuua au kuuliwa, kukamatwa na kupewa adhabu kali au kuhukumiwa kifungo cha maisha, but am ready with all that maana nimeckoka maisha haya.

NB:
Sio mzuri sana kwenye uandishi lakini nadhani nitakuwa nimeeleweka na kama unaswali au ushauri unakaribishwa
(Nawasilisha)
Unatuambia ulipata dhahabu? Ninavyojua dhahabu sio kama Tanzanite au Rubi au kito cha thamani chochote cha kusema umepata au umeokota. Dhahabu haikotwi. Dhahabu inakuwa extracted kutoka kwenye mwamba au mchanga wenye dhahabu. Dhahabu ni metallic element sio compound.
 
Ni ujambazi utakufaa..unga mpaka uwe na connection na watu hao na kusalitiana kwingi...fanya mambo kisayansi Kama KWENYE movie za mambele..andaa gari,silaha


Sehemu zenye hela
Petrol station
Maduka ya kufanya miamala nmb,crdb wakala,mpesa n.k
Bar and night club


Note:hizi deal NI michongo ya pesa ya kawaida million nne,tatu it depends



Ila Kama unataka deal kubwa za million 100 na kuendelea basi itakuwa ngumu maana watu siku hizi hawatembei Sana na cash.....





Deals NYINGINE lazima uwe na connection na wahusika maana hata ukipewa Sasa hivi mzigo wa pembe za ndovu huwezi kujua uanzie wapi kuingiza pesa utamuuzia nani?kwa hiyo kama kweli uko tayari kuzama chaka la national Park basi andaa Kwanza mazingira na wadosi wa kazi hizo na me sijui wanapatikana wapi..

Note usiwe na huruma Kama silaha unayo basi ukiingia porini ukakutana na wale games Askari basi usiulize unaua ua wote kmninazao..
Ndege waminya pumbu na bisibisi wapo kazini,jifunze kusumarize
 
Back
Top Bottom