Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,753
- 27,477
Kuna salat maalum nikuandikie ukae nayo Kwa Siku 49,mfukoni fedha zije mguuni mwako zenyewe Kwa usaidizi wa jinn Ifrit, we ni bats tu.
Gharama;500,000/-
Gharama;500,000/-
Nipe hiyo salat Maalumu nikae nayo hizoo siku 49...Kuna salat maalum nikuandikie ukae nayo Kwa Siku 49,mfukoni fedha zije mguuni mwako zenyewe Kwa usaidizi wa jinn Ifrit, we ni bats tu.
Gharama;500,000/-
duh....😂😂Ni ujambazi utakufaa..unga mpaka uwe na connection na watu hao na kusalitiana kwingi...fanya mambo kisayansi Kama KWENYE movie za mambele..andaa gari,silaha
Sehemu zenye hela
Petrol station
Maduka ya kufanya miamala nmb,crdb wakala,mpesa n.k
Bar and night club
Note:hizi deal NI michongo ya pesa ya kawaida million nne,tatu it depends
Ila Kama unataka deal kubwa za million 100 na kuendelea basi itakuwa ngumu maana watu siku hizi hawatembei Sana na cash.....
Deals NYINGINE lazima uwe na connection na wahusika maana hata ukipewa Sasa hivi mzigo wa pembe za ndovu huwezi kujua uanzie wapi kuingiza pesa utamuuzia nani?kwa hiyo kama kweli uko tayari kuzama chaka la national Park basi andaa Kwanza mazingira na wadosi wa kazi hizo na me sijui wanapatikana wapi..
Note usiwe na huruma Kama silaha unayo basi ukiingia porini ukakutana na wale games Askari basi usiulize unaua ua wote kmninazao..
Aangalie KWENYE movie za ughaibuni huko atajifunza michezo hiyo ya kikatili..watu mpaka bank wanaiba ila wanakuwa NI team yenye wataalam ma IT Wa kuchezea CCTV camera yaani wakali wote waliobobea kila idara mpaka ramani ya jengo la bank wanakuwa nayo wapi watatokea wakishachukua mzigo n.kduh....[emoji23][emoji23]
Ili uwe salama nakushauri fanya mpango nenda Muscat Oman, elezea hili deal lako utapata 'mkataba wenye fedha za kutosha' tena kwa malipo ya dola za kimarekani.Najua kuna kusalitiana, kuua au kuuliwa, kukamatwa na kupewa adhabu kali au kuhukumiwa kifungo cha maisha, but am ready with all that maana nimeckoka maisha haya.
Laki 8 ni wastani wa 25000 kwa siku kaa kwa kutulia ,wewe bado hujawai shika pesa.Usemacho ni kweli mm mwaka wa mwisho chuoni nilikuwa naingiza 800,000 mpaka milioni Kwa mwezi hanasa kwenda mbele totoz zote za chuo zilikoma baada ya kumaliza sasa shida kama zote ule upepo sijui ulienda wapi Maisha yamekuwa siyo kabisa.
Unatuambia ulipata dhahabu? Ninavyojua dhahabu sio kama Tanzanite au Rubi au kito cha thamani chochote cha kusema umepata au umeokota. Dhahabu haikotwi. Dhahabu inakuwa extracted kutoka kwenye mwamba au mchanga wenye dhahabu. Dhahabu ni metallic element sio compound.Habari za muda huu wana jf.
Mimi ni kijana mtanzania, jinsia yangu ni mwanaume, elimu yangu ni kidato cha sita, umri wangu ni miaka 27.
Nisingependa kuwachosha sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika,
Natafuta kazi au deal yeyote halali au haramu kigezo iwe na kipato au ujira mkubwa, hii nadhani inetokana na kuwahi kumiliki pesa nyingi na zikapotea bila kukamilisha mipango na malengo yangu.
Niliwahi kumiliki pesa nyingi kipindi nipo na miaka 21 hadi 24 na pesa hizo nilitafuta mwenyewe sio kwa kurithi, kudhurumu au kuiba.
Najua wengi mtashangaa na mtanishauri nitumie njia ile ile kupata hizo pesa lakini kwa sasa naona itachikua miaka mingi sana au isiwezekane kabisa.
Njia iliyotumika kupata fedha nyingi,
Niliwahi kusoma chuo cha madini hivyo nina uelewa kiasi kuhusiana na madini especially gold, Wakati nipo chuo mwaka wa pili tulipangiwa field, wakati nipo field nikabahatika kupata dhahabu kiasi ambayo niliiuza na kupata fedha nyingi kwangu, ikapelekea chuo sikumaliza ndio maana nasema nina elimu ya kidato cha sita.
Lakini pia njia hii ilikuwa kama bahati kwa upatikanaji wa fedha hizo ndio maana siwezi kuitumia tena kutafuta pesa nyingi.
Mimi binasfi kutokana na uelewa wangu na kutembea kwangu nimegundua, kazi nyingi haramu au deal nyingi haramu zinaingiza pesa nyingi sana. Ukizingatia pia zina risk kubwa pia ni kama third law of motion ya sir Isack Newton (for every action there is equal and opposite reaction)
Lakini kutokana na kutembea kwangu, akili yangu, skills zangu na efforts zangu nimejiandaa kiakili na kisaikolojia kutafuta deal yeyote ya kuingiza pesa nyingi sana kuanzia sasa.
Najua kuna kusalitiana, kuua au kuuliwa, kukamatwa na kupewa adhabu kali au kuhukumiwa kifungo cha maisha, but am ready with all that maana nimeckoka maisha haya.
NB:
Sio mzuri sana kwenye uandishi lakini nadhani nitakuwa nimeeleweka na kama unaswali au ushauri unakaribishwa
(Nawasilisha)
Ndege waminya pumbu na bisibisi wapo kazini,jifunze kusumarizeNi ujambazi utakufaa..unga mpaka uwe na connection na watu hao na kusalitiana kwingi...fanya mambo kisayansi Kama KWENYE movie za mambele..andaa gari,silaha
Sehemu zenye hela
Petrol station
Maduka ya kufanya miamala nmb,crdb wakala,mpesa n.k
Bar and night club
Note:hizi deal NI michongo ya pesa ya kawaida million nne,tatu it depends
Ila Kama unataka deal kubwa za million 100 na kuendelea basi itakuwa ngumu maana watu siku hizi hawatembei Sana na cash.....
Deals NYINGINE lazima uwe na connection na wahusika maana hata ukipewa Sasa hivi mzigo wa pembe za ndovu huwezi kujua uanzie wapi kuingiza pesa utamuuzia nani?kwa hiyo kama kweli uko tayari kuzama chaka la national Park basi andaa Kwanza mazingira na wadosi wa kazi hizo na me sijui wanapatikana wapi..
Note usiwe na huruma Kama silaha unayo basi ukiingia porini ukakutana na wale games Askari basi usiulize unaua ua wote kmninazao..