Natafuta deal ya pesa nyingi

Natafuta deal ya pesa nyingi

Work mwingine Niko naweka hela zangu bank crdb hz laki laki zangu kwa tabu tupuu naona kunavijana wanakujaga na mafurushi makubwa ya pesa Tena wanenda dirisha la bulk Kat ya milioni 40 plus najiuliza Nani anawatuma kuzileta je wakizomewa ramani jinsi wanvyo kabidhi hzo fez na madon wao kuzileta bank .na wanakujaga wakiwa wamezubaha zubah mno kumbe ktk beg Kuna furushi kubwa la fedha HV wakifatiliwa vzr siwatapigwa tukio

Al in Al maisha Ni ujasiri ovaaa
 
Dah mkuu inaonyesha una tamaa sana ya pesa na vizuri kwa kutumia njia fupi, muda mfupi au shortcut.
Pesa ni muhimu lakini isifikie kiwango cha kutaka kutoa hali ya ubinadamu wako kwa sababu yake na hasa kama wewe ni mwanaume.
Huu ni udhaifu wa hali ya juu kabisa sababu inatambulika wazi wanawake ndio wanakuwa na traits kama hizi.

Mwanaume anatakiwa awe strong physically na mentally apambane ale jasho lake mwenyewe la halali hata kama ni dagaa.
Hiki ndio kimoja kati ya vingi vinavyotofautisha mwanaume na mwanamke.
Au utakuwa huna tofauti na yule sister mirinda kwa vimillion 3 sijui, no offense lakini ndio ukweli.

Nakuhakikishia mkuu soon utapotea.

Nina huu msemo ambao ni wa kwangu mwenyewe
Kwamba: Hakuna kitu rahisi duniani, na vitu ambavyo unaona ni rahisi basi tambua vimehangaikiwa na kutolewa jasho vilevile hivyo ukitaka rahisi basi jua vina gharama kubwa na siku zote mwisho wake ni mbaya.

Otherwise unachangamsha genge hapa but that's my advice.
 
Habari za muda huu wana JF.
Mimi ni kijana mtanzania, jinsia yangu ni mwanaume, elimu yangu ni kidato cha sita, umri wangu ni miaka 27.

Nisingependa kuwachosha sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika,

Natafuta kazi au deal yeyote halali au haramu kigezo iwe na kipato au ujira mkubwa, hii nadhani imetokana na kuwahi kumiliki pesa nyingi na zikapotea bila kukamilisha mipango na malengo yangu.

Niliwahi kumiliki pesa nyingi kipindi nipo na miaka 21 hadi 24 na pesa hizo nilitafuta mwenyewe sio kwa kurithi, kudhulumu au kuiba. Najua wengi mtashangaa na mtanishauri nitumie njia ile ile kupata hizo pesa lakini kwa sasa naona itachukua miaka mingi sana au isiwezekane kabisa.

Njia iliyotumika kupata fedha nyingi,

Niliwahi kusoma chuo cha madini hivyo nina uelewa kiasi kuhusiana na madini especially gold, Wakati nipo chuo mwaka wa pili tulipangiwa field, wakati nipo field nikabahatika kupata dhahabu kiasi ambayo niliiuza na kupata fedha nyingi kwangu, ikapelekea chuo sikumaliza ndio maana nasema nina elimu ya kidato cha sita.

Lakini pia njia hii ilikuwa kama bahati kwa upatikanaji wa fedha hizo ndio maana siwezi kuitumia tena kutafuta pesa nyingi.

Mimi binasfi kutokana na uelewa wangu na kutembea kwangu nimegundua, kazi nyingi haramu au deal nyingi haramu zinaingiza pesa nyingi sana. Ukizingatia pia zina risk kubwa pia ni kama third law of motion ya sir Isack Newton (for every action there is equal and opposite reaction)

Lakini kutokana na kutembea kwangu, akili yangu, skills zangu na efforts zangu nimejiandaa kiakili na kisaikolojia kutafuta deal yeyote ya kuingiza pesa nyingi sana kuanzia sasa.

Najua kuna kusalitiana, kuua au kuuliwa, kukamatwa na kupewa adhabu kali au kuhukumiwa kifungo cha maisha, but am ready with all that maana nimechoka maisha haya.

NB:
Sio mzuri sana kwenye uandishi lakini nadhani nitakuwa nimeeleweka na kama una swali au ushauri unakaribishwa
(Nawasilisha)
Hamna tatizo kwa kua unajua duniani kuna Jela na Guest House jiandae kwa lolote
 
Vijana wa kitz wameachwa njia panda awajui chochote kuhusu maisha,nini kusudi hasa la maisha, ujasilimali, kuziona fursa, utajiri,nk.
Elimu yetu ya sasa ni takataka haina msaada imetufanya kuwa vipofu.
Fursa tele zimejaa sisi vipofu vijana wa nchi zingine wanakuja wanachuma wanatajirika wanaondoka.
Wanasema TANZANIA njoo na akili yako tu KILA kitu utapata ukifika.
Vijana wote KILA mmoja akipewa mtaji wa milioni 10 haifiki miezi 3 wote watakuwa tena masikini huwezi ukafanikiwa kama ujafanikiwa kichwani.
Dah Umeongeq Sana Point Mkuu[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Work mwingine Niko naweka hela zangu bank crdb hz laki laki zangu kwa tabu tupuu naona kunavijana wanakujaga na mafurushi makubwa ya pesa Tena wanenda dirisha la bulk Kat ya milioni 40 plus najiuliza Nani anawatuma kuzileta je wakizomewa ramani jinsi wanvyo kabidhi hzo fez na madon wao kuzileta bank .na wanakujaga wakiwa wamezubaha zubah mno kumbe ktk beg Kuna furushi kubwa la fedha HV wakifatiliwa vzr siwatapigwa tukio

Al in Al maisha Ni ujasiri ovaaa
Toa raman Mkuu
 
.
Screenshot_20220114-173556_WhatsApp.jpg
 
Habari za muda huu wana JF.
Mimi ni kijana mtanzania, jinsia yangu ni mwanaume, elimu yangu ni kidato cha sita, umri wangu ni miaka 27.

Nisingependa kuwachosha sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika,

Natafuta kazi au deal yeyote halali au haramu kigezo iwe na kipato au ujira mkubwa, hii nadhani imetokana na kuwahi kumiliki pesa nyingi na zikapotea bila kukamilisha mipango na malengo yangu.

Niliwahi kumiliki pesa nyingi kipindi nipo na miaka 21 hadi 24 na pesa hizo nilitafuta mwenyewe sio kwa kurithi, kudhulumu au kuiba. Najua wengi mtashangaa na mtanishauri nitumie njia ile ile kupata hizo pesa lakini kwa sasa naona itachukua miaka mingi sana au isiwezekane kabisa.

Njia iliyotumika kupata fedha nyingi,

Niliwahi kusoma chuo cha madini hivyo nina uelewa kiasi kuhusiana na madini especially gold, Wakati nipo chuo mwaka wa pili tulipangiwa field, wakati nipo field nikabahatika kupata dhahabu kiasi ambayo niliiuza na kupata fedha nyingi kwangu, ikapelekea chuo sikumaliza ndio maana nasema nina elimu ya kidato cha sita.

Lakini pia njia hii ilikuwa kama bahati kwa upatikanaji wa fedha hizo ndio maana siwezi kuitumia tena kutafuta pesa nyingi.

Mimi binasfi kutokana na uelewa wangu na kutembea kwangu nimegundua, kazi nyingi haramu au deal nyingi haramu zinaingiza pesa nyingi sana. Ukizingatia pia zina risk kubwa pia ni kama third law of motion ya sir Isack Newton (for every action there is equal and opposite reaction)

Lakini kutokana na kutembea kwangu, akili yangu, skills zangu na efforts zangu nimejiandaa kiakili na kisaikolojia kutafuta deal yeyote ya kuingiza pesa nyingi sana kuanzia sasa.

Najua kuna kusalitiana, kuua au kuuliwa, kukamatwa na kupewa adhabu kali au kuhukumiwa kifungo cha maisha, but am ready with all that maana nimechoka maisha haya.

NB:
Sio mzuri sana kwenye uandishi lakini nadhani nitakuwa nimeeleweka na kama una swali au ushauri unakaribishwa
(Nawasilisha)
Ipo kazi nzuri na utatajirika sana,mradi ukubali utembelewe kwa mpalange

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kuwaza kama wewe lakini baadae nikaja kugundua njaa na tamaa ni vitu kibaya sana, by the way utu wako ni Bora kuliko hizo pesa, tafuta shughuli halali hata kama Ina kipato Cha kawaida then Muombe Mungu atakusaidia utaweza kuridhika na ulicho nacho.
Atarii Sana.
 
Back
Top Bottom