Wee acha kufanya abortion lea hicho kiumbeMambo vipi wadau?
Naulizia dawa taja hapo juu nina shida nayo nipo Dar. Nimeskia haiuzwi kila pharmacy pia haiuzwi hovyo, so kama kuna mdau yupo anafanya kazi pharmacy au hospital aweze kunisaidia.
"Kwa mdau anaejua hii dawa please"
Thanks