Hawaelewi haoUchumi wa nchi unayumba wakati unakua kwa zaidi ya asilimia 6.9%
kwa taarifa yako mwaka 2015 tulinyimwa fedha za MCC lakini umeme umesambaa vijijini.
Kwa nini mnaenda kukupoa na kila siku mnasema mna hela nyingi sana?Ndio maana tulitaka kukopa sio kupewa msaada.
Kumbuka hata Marekani anakopa
Huyo ni bibiNaogopa,lakini unaumri gani Dada/kaka maana wee huoni ubaya was CCM kamwe
Hawajawai kujimwambafy kama Magufuli kuwa wana hela na wanaweza kufamya kila kitu kwa hela zao za ndaniMbona Marekani inakopa pamoja na kuwa na fedha nyingi?
Hata MO wa Simba anakopa