OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,717
Kipindi fulani enzi za awamu ya 5 tuliwahi kusikia tetesi kwamba Mama alitaka kujiuzulu. Tetesi zikasema resign hiyo ilizimwa baada ya wazee kuingilia kati kwamba italeta picha mbaya kwa wananchi na kimataifa.
Sasa kwa mabadiliko yanayoendelea sasa ni dhahiri kuna ukweli mama alitaka kuachia ngazi. Kuwajibisha viongozi waliondesha magenge ya kihalifu, kuachia watuhumiwa kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu, kukataa hela za dhulma,kuruhusu siasa ziendelee na kuacha kutumia manguvu, kuitikia mialiko ya kimataifa, kutumia lugha za staha, nk nk nk
Nisubiri nini kuamini hili la Samia kutaka kujiudhuru?
Suluhisho la haya yote ni Katiba Mpya ili kudhibiti viongozi wanaotaka kuendesha nchi kama gari bovu
Sasa kwa mabadiliko yanayoendelea sasa ni dhahiri kuna ukweli mama alitaka kuachia ngazi. Kuwajibisha viongozi waliondesha magenge ya kihalifu, kuachia watuhumiwa kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu, kukataa hela za dhulma,kuruhusu siasa ziendelee na kuacha kutumia manguvu, kuitikia mialiko ya kimataifa, kutumia lugha za staha, nk nk nk
Nisubiri nini kuamini hili la Samia kutaka kujiudhuru?
Suluhisho la haya yote ni Katiba Mpya ili kudhibiti viongozi wanaotaka kuendesha nchi kama gari bovu