tunduma001
JF-Expert Member
- Jun 7, 2021
- 218
- 396
Hapana katiba yao iko vzur na ndio iliyowafikisha pale, hawana mchezo na sheria zao hata kidogo co km hapa kwetu watu daily wanabadilisha sheria kwa maslahi binafsini wazalendo,maana katiba yao imeruhusu rais atawale mpaka akichoka.
kitu ambacho sio democrasia kwa mujibu wa magharibi.