Nasubiri nini kuamini Rais Samia alitaka(ga) kujiuzulu Awamu ya 5?

Ni maneno tu ya mitaani! Ajiuzulu halafu ale wapi? Sura ya kujuzulu iko wapi? Mtu anayetanguliza kubadilisha mavazi kwa Siku hata Mara tatu, anaweza kuwa na vinasaba vya msimamo maishani? Msimamo chanya unaambatana na kujikatalia Kwa ajili ya wengi. Kama sifa hiyo haipo Ni ndoto za kuishi Mwezini.
Hahahaa okay!
 
Wewe acha hizo yule Dr wa Tabora alipo acha ajira Jiwe alitangaza vita mpaka hospital iliyo muajiri ifutwe hadharani
Lisu ilitangazwa hadharani ashughulikiwe na akashughulikiwa
Yule bw wa Wizara ya fedha aliuawa kifedhuli sana
Hivyo Mama ulitaka naye aende kirahisi
Nyie Wachungaji ni watu hatare sana!
Hata wewe Nyani huko ulipo naimani ni muongoza uhalifu huko
1624810465072.png
 
Hakuna Mungu mjinga wa namna hiyo! Kwa hiyo, unaamini Mungu ndo alimtoa Magufuli Duniani au alikufa kwa Ugonjwa? Au unaamini Mungu kazi yake ni kusikia Sala kuwa fulani hatakiwi na kisha Mungu kuchukua hatua? Kwa hiyo, mfano huyu mnaemshabikia akifa atakuwa ni Mungu amesikiliza Sala za akina nani? Zitakuwa Sala Za wale wasiompenda au wale wanaompenda?
Jamaa wamezidi ujinga mwingi hao
 
Kipindi fulani enzi za awamu ya 5 tuliwahi kusikia tetesi kwamba Mama alitaka kujiuzulu. Tetesi zikasema resign hiyo ilizimwa baada ya wazee kuingilia kati kwamba italeta picha mbaya kwa wananchi na kimataifa.

Sasa kwa mabadiliko yanayoendelea sasa ni dhahiri kuna ukweli mama alitaka kuachia ngazi. Kuwajibisha viongozi waliondesha magenge ya kihalifu, kuachia watuhumiwa kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu, kukataa hela za dhulma,kuruhusu siasa ziendelee na kuacha kutumia manguvu, kuitikia mialiko ya kimataifa, kutumia lugha za staha, nk nk nk

Nisubiri nini kuamini hili la Samia kutaka kujiudhuru?

Suluhisho la haya yote ni Katiba Mpya ili kudhibiti viongozi wanaotaka kuendesha nchi kama gari bovu
Tungeona mabadiliko kama dk mpango kutolewa kwenye baraza la mawaziri,yeye ndio kaharibu mifumo ya kodi ya nchi hii kubambikizia wafanyabiashara kodi,kufunga ac zao,kuwapora pesa zao n kuwapa kesi,
Pili kumpa doto james ukatibu wakti ni kibaka na tuhuma kibao zinamuhusu.....mama anachoweza ni kulegeza macho sio kutawala
 
Tungeona mabadiliko kama dk mpango kutolewa kwenye baraza la mawaziri,yeye ndio kaharibu mifumo ya kodi ya nchi hii kubambikizia wafanyabiashara kodi,kufunga ac zao,kuwapora pesa zao n kuwapa kesi,
Pili kumpa doto james ukatibu wakti ni kibaka na tuhuma kibao zinamuhusu.....mama anachoweza ni kulegeza macho sio kutawala
Halafu cha ajabu naye sasa ameaminishwa anaweza na amejiona anaweza kiasi yuko busy kuunda timu ya kumsaidia kushinda!
 
Hii ishu ilianza kipindi alienda nairobi akowa ziarani huko akaenda kumwona lissu hospital alikolazwa kimatibabu baada ya kushambuliwa na marisasi.

Aliporudi alifokewa sana kama mtoto mdogo.

Naomba niishie hapo
Akumtandika makofi kweli
 
Ni maneno tu ya mitaani! Ajiuzulu halafu ale wapi? Sura ya kujuzulu iko wapi? Mtu anayetanguliza kubadilisha mavazi kwa Siku hata Mara tatu, anaweza kuwa na vinasaba vya msimamo maishani? Msimamo chanya unaambatana na kujikatalia Kwa ajili ya wengi. Kama sifa hiyo haipo Ni ndoto za kuishi Mwezini.
una chuki kama za Mzee wa Legacy
 
kwa sasa mama anacheza ana akili za wajinga wajinga,ili apate kuungwa mkono endapo ataharibu kwa jambo lolote.

haya madai ya kujiuzulu hayajulikani yalitokea wapi,hayana tofauti na yale ya aliyekuwa cdf kupewa sumu.mara zote ccm kwa kutumia udhaifu wa hurka za watanzania(umbea)hutoa kichwa cha habari kisha story kuwaachia wenyewe.

wacha tukubali alitaka kujiuzuru,
hataki viongozi aliowaacha magufulu,hataki miladi aliyoianzisha magufuli,hataki historia ya magufuli,hataki aina ya siasa za magufuli,na wala hataki kuwa kama magufuli,lakini 2025 ndio tutajua mama ni ccm mtiifu kabisa,na anaishi kwa radhi na beat kama la mwendazake.

naskia ana mpango wa kubadirisha katiba.
 
Hii ishu ilianza kipindi alienda nairobi akowa ziarani huko akaenda kumwona lissu hospital alikolazwa kimatibabu baada ya kushambuliwa na marisasi.

Aliporudi alifokewa sana kama mtoto mdogo.

Naomba niishie hapo
safari zote za rais,makamu,waziri mkuu,na viongozi wengine wakuu wa taasisi zinatoka kwa katibu mkuu kiongozi(CS)zikiwa na baraka zote za rais mwenyewe.

labda hapo stand mnaamini makamu alitoroka magogoni kimya kimya.sijui ndege ziliruhusiwaje kuruka na kupewa anga mpaka nairobi!!!
 
una chuki kama za Mzee wa Legacy
hapana ni logic tu anajaribu kuwaasa mtumie.

Mungu hajawahi kuwa na upande,ndio maana huchukua hata wababa wanaotegemewa na ukoo mzima wanae wakiwa chumba cha mtihani.

lakini team roho mbaya mnadhani Mungu mmeshamwelewa,na alijibu maombi yenu kiufasaha kabisa.
 
Back
Top Bottom