Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

2020 nimepanga kuacha ajira naomba MUNGU anifikishe salama tu.na mipango ninayoseti sasa iende poa

Am still young sina cha kuogopa the only thing I hope is "I'll survive no matter what will happen there,but i'll survive"

Kama wewe ni mtumishi wa umma upo upo tu unangoja uongezewe mshahara una matatizo kweli huwazi hata nje ya box .

Kweli akili ni nywele kila MTU...........,
 
Tayari. Ila unaingia kimafungu fungu. Inawezekana zamu yako bado kidogo
HAhahah kwa kweli inawezekana Mkuu maana sie wengine kwa Buraza Magu ni black sheep in the family............. outcasted family for that matter.

Nakufata inbobo unigee nauli best....😀
 
HAhahah kwa kweli inawezekana Mkuu maana sie wengine kwa Buraza Magu ni black sheep in the family............. outcasted family for that matter.

Nakufata inbobo unigee nauli best....😀
Njoo kahama nikupe nauli best
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Kuna mtumishi ambae mpaka leo hii bado ana imani na serikali hii..??duh mimi mbwembwe zao tu mwanzoni nikajua hawana pumzi hawa.
na bahati mbaya zaidi hakuna mtumishi wa umma anayetimiza majukumu nyake ipasavyo. laiti wangetimiza basi nchi hii ingekuwa bali
 
na bahati mbaya zaidi hakuna mtumishi wa umma anayetimiza majukumu nyake ipasavyo. laiti wangetimiza basi nchi hii ingekuwa bali

Ukitaka hata mbwa wako akuheshimu basi wewe mlishe vizuri tu hakika kila utakalomwambia atafanya ila ukimlaza njaa usishangae akihamia kwa jirani au akawa anashinda dampo,ni upuuzi kutimiza wajibu wakati muajiri hatimizi majukumu yake.
 
a
Ukitaka hata mbwa wako akuheshimu basi wewe mlishe vizuri tu hakika kila utakalomwambia atafanya ila ukimlaza njaa usishangae akihamia kwa jirani au akawa anashinda dampo,ni upuuzi kutimiza wajibu wakati muajiri hatimizi majukumu yake.
Acha visingizio, ndio maana hatufanyi kitu
we are good for nothing except excuses
uzalishaji na kipato kipi kinapaswa kutangulia
unataka uanze kula faida kabla ya kufanya bianshara na kutengeneza faida
jiulize umeifanyia nini nchi yako kwanza
 
kwa njia ipi
Hivi kwa usawa huu ambapo hata ya kutolea ntakosa ..........vituo vya Police si vingefanya huduma hii ya kutuma pesa best? Si wanatutumikia wananchi? hahaha (Jamani Police men ninatania tu msijenitumia FFU huku)
 
a

Acha visingizio, ndio maana hatufanyi kitu
we are good for nothing except excuses

Sio mbaya wewe ukifanya kitu ila mimi sina sababu,hii Dunia ina millions of options sio lazima tufanane ukiona wenzako wamekaa sio mbaya ukasimama ni maamuzi ila sidanganywi kama zamani maana miaka 10 iliyopita nimevuja sana jasho na keki wakawa wanakula wengine kwa sasa nami niko upande wa pili.
 
Sio mbaya wewe ukifanya kitu ila mimi sina sababu,hii Dunia ina millions of options sio lazima tufanane ukiona wenzako wamekaa sio mbaya ukasimama ni maamuzi ila sidanganywi kama zamani maana miaka 10 iliyopita nimevuja sana jasho na keki wakawa wanakula wengine kwa sasa nami niko upande wa pili.
hahahahahahahahaaaaah
then usidai haki nbila wajibu
 
HAhahah kwa kweli inawezekana Mkuu maana sie wengine kwa Buraza Magu ni black sheep in the family............. outcasted family for that matter.

Nakufata inbobo unigee nauli best....😀
HAhaahaaa Njoo Kamanda...,Saiv Nipo napata mbuzi choma na Windhoek baridi kusuuza koo
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Hivi kwa usawa huu ambapo hata ya kutolea ntakosa ..........vituo vya Police si vingefanya huduma hii ya kutuma pesa best? Si wanatutumikia wananchi? hahaha (Jamani Police men ninatania tu msijenitumia FFU huku)
Aaaahhhh na kweli wanaweza kukufuata
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Back
Top Bottom