Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Jini likikosa damu lazma litoke kwenye chupa, na lazma limle mganga
 
hahahahahahahahaaaaah
then usidai haki nbila wajibu

Inawezekana kabisa wewe sio mtumishi wa umma au kama ni mtumishi basi umetumika chini ya miaka 10 hauwezi kuelewa nini najaribu kusema,bahati mbaya nilipoajiriwa niliamini kwenye uzalendo na nikavuja sana jasho ila kwa sasa hakuna mtu atanishawishi nirudi kwenye huo upuuzi,fanyeni kazi ila mimi navizia ilipo keki ya Taifa ndipo nilipo sio blah blah za uzalendo nafanya kazi kadri ya ninavyolipwa.
 
Ewe rafiki mwenye akaunti NMB hebu njoo tutete kidogo bana............ Mungu kaagiza tupendane bana. 😀😀😀
 
Back
Top Bottom